Serikali yafafanua meli iliyokamatwa na dawa za kulevya
Dar es Salaam. Serikali ya Tanzania imeeleza hatua zilizochukuliwa kufuatia kukamatwa kwa meli yenye bendera ya Tanzania nchini El Salvador, iliyodaiwa kubeba tani 6.6 za dawa za kulevya aina ya kokeini. Kwa mujibu wa Msemaji Mkuu wa Serikali, Gerson Msigwa, baada ya kusambaa kwa taarifa za kukamatwa kwa meli hiyo Februari 17 mwaka huu, siku…