Kortini akidaiwa kughushi barua za vyuo vikuu

Dar es Salaam. Mkazi wa Kibamba, Hakeem Palangyo, amefikishwa katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, akikabiliwa na mashtaka manne, likiwemo la kugushi barua za vyuo vikuu. Palangyo amefikishwa mahakamani hapo leo, Alhamisi, Februari 26, 2026, na kusomewa kesi yake mbele ya Hakimu Mkazi Mkuu, Hassan Makube. Akimsomea shtaka, wakili wa Serikali, Bony Lawrence, amedai kuwa…

Read More

Benki ya NBC Yakabidhi Gari kwa Mshindi wa Kampeni ya Huduma za Kidigitali, Yaendeleza Juhudi za Kukuza Ujumuishaji wa Kifedha

Benki ya Taifa ya Biashara (NBC) imekabidhi zawadi kuu za kampeni yake ya “Ukigusa Tu, iMOOO” kwa washindi wakubwa watatu wa kampeni hiyo ikiwemo zawadi kubwa ya gari aina Nissan X trail iliyokabidhiwa kwa Bw Salah Ahmed Mohamed mkazi wa jijini Dar es Salaam alieibuka mshindi wa zawadi kuu ya kampeni iliyolenga kukuza ujumuishaji wa…

Read More

Nafasi za Kazi: Site Foreman Wenye Uzoefu wa Miaka 2 Wahitajika Haraka

Global Publishers February 26, 2026 0 Comments 2️⃣ Site Foreman (Civil Building Project) Minimum Qualifications: Bachelor of Science in Building, Construction Management, Civil Engineering, or related field Minimum of 2 years practical site experience in building construction Key Responsibilities: Supervise day-to-day construction activities on site Coordinate labor, subcontractors, and materials effectively Ensure work is executed…

Read More

KWIMBA WAISHUKURU TAASISI YA DORIS MOLLEL KUJENGA JENGO LA KISASA LA KIMATAIFA KUHUDUMIA WATOTO NJITI

Na Mwandishi Wetu,Kwimba WANANCHI wa Wilaya ya Kwimba mkoani Mwanza wameishukuru Taasisi ya Doris Mollel (Doris Mollel Foundation) kwa kuleta mabadiliko makubwa katika Wilaya hiyo baada ya kufadhili na kusimamia ujenzi wa jengo la kisasa la Kimataifa la kuwahudumia Watoto wanaozaliwa kabla ya wakati (njiti). Jengo hilo limejengwa katika Hospitali ya Wilaya ya Kwimba, ambapo…

Read More