SERIKALI YAAGIZA KUONGEZA KASI UFUATILIAJI MAGONJWA YA MFUMO WA NJIA YA HEWA
Na Hassan Kimweri, WAF – Morogoro Serikali kupitia Wizara ya Afya imeziagiza Hospitali za Rufaa za Mikoa, Taifa, Wilaya na Vituo vya Afya kuongeza kasi ya ufuatiliaji wa magonjwa ya mfumo wa njia ya hewa pamoja na magonjwa mengine ya mlipuko. Mganga Mkuu wa Serikali Dkt. Grace Magembe ametoa maagizo hayo leo Februari 25, 2026…