Mbeya yasajili kaya 9,740 mpango wa bima ya afya kwa wote
Mbeya. Mfuko wa Taifa wa Bima ya Afya (NHIF) Mkoa wa Mbeya unakusudia kufanya tathmini ili kupata taarifa za kaya za makundi maalumu ambayo hayajasajiliwa kwenye Mpango wa Bima ya Afya kwa Wote ili kuwekwa kwenye utaratibu wa awamu ya pili. Mkoa wa Mbeya unatakiwa kusajili kaya 33,362 lakini mpaka sasa wamezifikia kaya 9,740 sawa…