Waziri Mkuu Aagiza Takukuru Kuchunguza Ubadhirifu Wa Fedha Jengo La DC Kiteto
Global Publishers February 26, 2026 0 Comments WAZIRI MKUU, Dkt. Mwigulu Nchemba, amemtaka Kamanda wa TAKUKURU Mkoa wa Manyara, Bahati Haule, kufanya uchunguzi wa kina na kuwasilisha taarifa ya kila mmoja aliyehusika kuchukua fedha za mradi wa ujenzi wa Ofisi ya Mkuu wa Wilaya ya Kiteto. Dkt. Mwigulu amesema kuwa pamoja na kurejeshwa kwa fedha…