Dk Nchimbi aahidi wazawa kushiriki uchimbaji madini, miradi ya maendeleo Kahama

Kahama. Mgombea mwenza wa urais wa Chama cha Mapinduzi (CCM), Dk Emmanuel Nchimbi amesema chama hicho kikitapata ridhaa ya kushika dola katika uchaguzi mkuu, kitahakikisha madini yote ya kimkakati yanachimbwa na Watanzania. Amesema, kama si wazawa kuchimba wao moja kwa moja basi ubia utakaoingiwa na wawekezaji utakuwa sawia ili rasilimali hiyo iwanufaishe zaidi wananchi. Dk…

Read More

Serikali yawasilisha ombi lingine kesi ya Boni Yai, Malisa

Dar es Salaam. Wakati kesi ya kuchapisha taarifa za uongo mtandaoni inayomkabili Boniface Jacob maarufu Boni Yai na mwanaharakati Godlisten Malisa, ikisubiri uamuzi wa Mahakama Kuu ili kuendelea na usikilizwaji, Jamhuri imeomba kufanya mabadiliko ya kielelezo katika kesi hiyo. Usikilizwaji bado haujaanza baada ya Jamhuri kukata rufaa Mahakama Kuu kupinga uamuzi wa Mahakama ya Hakimu…

Read More

Tanesco yaja na teknolojia ya matengenezo bila kukata umeme

Dar es Salaam. Shirika la Umeme Tanzania (Tanesco), limefanya matengenezo kinga kwenye njia ya kusafirisha umeme wa msongo wa Kilovoti 220 kutoka Kituo cha kupoza umeme Chalinze hadi Kituo cha Kinyerezi Dar es Salaam bila kuzima umeme (live line). Teknolojia hiyo ya ‘live line’ inalenga kupunguza upotevu wa umeme kutokana na kuzima laini pamoja na…

Read More

Rufaa za ubunge, udiwani zaacha vilio

Dar es Salaam. Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi (INEC) imehitimisha mvutano wa kisheria kwa kutoa uamuzi wa rufaa za mapingamizi ya wagombea wa upinzani na chama tawala kwa ubunge na udiwani, uamuzi ulioacha baadhi ya wagombea wakifurahia ushindi huku wengine wakibaki na masikitiko. Kwa mujibu wa taarifa iliyosainiwa na Mkurugenzi wa Uchaguzi wa INEC,…

Read More

Gombo amwaga sera Shinyanga amtaja Mpina, Lissu

Shinyanga. Mgombea urais kupitia Chama cha Wananchi (CUF), Gombo Samandito Gombo, ameahidi kufuta gharama za matibabu, elimu hadi chuo kikuu, pamoja na mikopo ya watumishi wa umma mara tu atakapochaguliwa kuwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania. Akizungumza leo, Septemba 4, 2025, wakati wa kampeni za kuomba kura kwa wananchi zilizofanyika katika Stendi ya…

Read More

Tumaini jipya teknolojia ikifanikiwa kutafsiri mawazo ya binadamu

Dar es Salaam. Wanasayansi kutoka Chuo Kikuu cha Stanford nchini Marekani, wamefanikiwa kutafsiri mawazo ya binadamu kwa kutumia teknolojia ya kipandikizi cha ubongo kinachounganishwa na akili unde (AI). Teknolojia hiyo inayojulikana kama Brain-Computer Interface (BCI), imeibua tumaini kwa wagonjwa waliopoteza uwezo wa kuzungumza kutokana na ulemavu wa kimwili au ugonjwa wa mishipa ya fahamu. Uwezo…

Read More