
Dk Nchimbi aahidi wazawa kushiriki uchimbaji madini, miradi ya maendeleo Kahama
Kahama. Mgombea mwenza wa urais wa Chama cha Mapinduzi (CCM), Dk Emmanuel Nchimbi amesema chama hicho kikitapata ridhaa ya kushika dola katika uchaguzi mkuu, kitahakikisha madini yote ya kimkakati yanachimbwa na Watanzania. Amesema, kama si wazawa kuchimba wao moja kwa moja basi ubia utakaoingiwa na wawekezaji utakuwa sawia ili rasilimali hiyo iwanufaishe zaidi wananchi. Dk…