Wabunge Wawili wa CCM Chato Wafikishwa Mahakamani, Tuhuma Nzito za Rushwa – Video
Bakari Mahundu March 9, 2026 0 Comments Mbunge wa Jimbo la Chato Kaskazini, Paschal Lutandula, na Mbunge wa Jimbo la Chato Kusini, Cornel Magembe, pamoja na Madiwani CCM Walivyofikishwa Mahakamani Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (TAKUKURU) Mkoa wa Geita imewafikisha mahakamani Mbunge wa Jimbo la Chato Kaskazini, Paschal Lutandula, na Mbunge wa Jimbo…