Umeyafikiria maisha ya familia ukifika miaka 60?

Mwanza. Ulishawahi kujiuliza, ukifikisha umri wa miaka 60 au zaidi, nini hasa utakitegemea ili kuishi maisha yenye furaha, afya na utulivu wa moyo? Wengi hudhani familia, watoto au marafiki wa karibu ndio msaada wa uhakika uzeeni. Lakini kwa kiuhalisia, kadri miaka inavyosonga mbele, hali za maisha hubadilika. Uhusiano unapoa, watoto hujishughulisha na maisha yao, na…

Read More

Tanzania yaibuka kidedea kwenye Tuzo za Utalii Duniani

Tanzania imeendelea kushikilia nafasi yake ya kimataifa kama ‘nchi Inayoongoza duniani kwa utalii wa safari’ katika hafla ya fainali za World Travell Awads 2025. Tanzania imetunukiwa taji hili adhimu katika sekta ya utalii duniani wakati wa hafla ya 32 ya World Travel Awards (WTA 2025), iliyofanyika katika Ukumbi wa Exhibition World Center nchini Bahrain Desemba…

Read More

Tuwaandae watoto wa kiume kuja kuwa wanaume

Dar es Salaam. Katika jamii ya leo, tunashuhudia kizazi cha vijana wa kiume kinachokua bila mwelekeo wa kweli wa uanaume. Wengi wao wamekosa misingi ya uwajibikaji, ujasiri na bidii kama nguzo muhimu zinazomfanya mwanaume awe nguzo ya familia na jamii. Ni wakati sasa wazazi, walimu, na viongozi wa dini wafufue jukumu la kuwaandaa watoto wa…

Read More

Nimejenga kwa siri, namwambiaje mume wangu?

Mume wangu anafanya kazi nzuri na anapata mshahara na marupurupu ya maana, ila kila nikimwambia tufanye maendeleo haonyeshi ushirikiano. Ninashukuru nikimuomba pesa ananipa, ila kujipanga kwa ajili ya maisha ya baadaye ni ngumu hata kujenga kibanda cha kuishi hafikirii . Tunapanga nyumba za ambapo tungejiongeza kidogo tu tungejenga ya kwetu tena ya maana. Nilipobaini kuwa hashawishiki…

Read More

[07/12, 08:36] Bukuku: CHITALE AHUBIRI UMOJA MKUTANO MKUU WA WADAU MADALE GROUP [07/12, 08:37] Bukuku: Kaka nisaidie hiyo mkutano wa umoja wetu home Madale

  Na John Bukuku – Dar es Salaam Kaimu DAS wa Wilaya ya Kinondoni, Bw. Salumu Chitale, aliyemwakilisha Mkuu wa Wilaya, ametumia Mkutano wa Umoja wa Wadau Madale Group uliofanyika Desemba 6, 2025 Jijini Dar es Salaam, kutoa wito wa mshikamano na ushirikiano miongoni mwa wanachama, akisisitiza kuwa ndiyo nguzo ya mafanikio ya kikundi. Amesema…

Read More

Serikali yapinga shauri kufutwa sherehe za Uhuru

Dar es Salaam.  Wakati Mahakama Kuu Masjala Kuu Dodoma, ikitarajia kusikiliza shauri la maombi ya kibali cha kupinga uamuzi wa kufuta sherehe za maadhimisho ya Uhuru wa Tanganyika mwaka 2025, Serikali imewasilisha pingamizi la awali ikiomba shauri hilo lifutwe bila kupewa nafasi ya kusikilizwa. Shauri hilo lilifunguliwa na Wakili Peter Madeleka dhidi ya Rais wa…

Read More