Rozalia Peter kutoka Lindi, alikuwa na ndoto ya kuwa mhandisi wa mitambo tangu akiwa bado mdogo. Alikuwa mwanafunzi mahiri, akichukua mchepuo wa fizikia, kemia na
Category: Habari

Songea. Chama cha ACT- Wazalendo kimesema kitaendelea kuuvalia njuga suala la Liganga na Mchuchuma ambao ni mradi wa kimkakati unaolenga kukuza uchumi wa viwanda kwa

Mkurugenzi wa Taasisi ya Miriam Odemba Foundation (MOF) ambaye pia ni mwanamitindo nguli wa kimataifa, Miriam Odemba amesisitiza Watanzania kuchangia fedha kwa ajili ya kufanikisha

*Aweka mikakati ya kuinua vijana katika mafunzo ya ufundi stadi Mamlaka ya Elimu Mafunzo ya Ufundi (VETA) imesema kuwa kuna mageuzi katika utoaji wa mafunzo

SHIRIKA la Maendeleo ya Petroli Tanzania (TPDC) limeibuka mshindi katika Maonesho ya 49 ya Biashara ya Kimataifa ya Dar es Salaam, maarufu kama Sabasaba, baada

Na Mwandishi Wetu SHULE ya Sekondari St Anne Marie Academy imekuwa miongoni mwa shule zilizofanya vizuri zaidi kwa mara nyingine tena kwenye matokeo ya kidato

wafanyakazi wa Kampuni ya Ujenzi na Ukarabati wa Miundombinu ya Usafirishaji na Usambazaji wa Umeme (ETDCO) wakiongozwa na Kaimu Meneja, CPA. Sadock Mugendi wakimkabidhi zawadi Rais

Naibu Waziri wa Madini Dkt. Steven Kiruswa akizungumza kwenye mkutano na waandishi wa habari Julai 7,2025 katika Mgodi wa Barrick Bulyanhulu – Picha : Kadama

Kampuni ya Gf Trucks & Equipment Ltd imeibuka mshindi wa jumla wa maonyesho ya biashara ya kimataifa 2025 yanayoendelea jijini Dar es salaam. Kupitia kiwanda

NA EMMANUEL MBATILO, MICHUZI TV Jeshi la Kujenga Taifa (JKT) limeibuka mshindi wa tuzo ya Ubunifu wa Samani na Muundo wa Ndani (Furniture and Interior