Dada asimulia maisha ya utoto ya Kardinali Pengo

Dar es Salaam. Katika historia ya Kanisa Katoliki Tanzania, jina la Polycarp Kardinali Pengo limebeba uzito mkubwa wa kiroho; hata hivyo, nyuma ya mavazi yake ya ukardinali kuna simulizi ya familia iliyomlea na kumshuhudia akipanda ngazi za utumishi wake. Hadi Kardinali Pengo anastaafu, amelitumikia kanisa kwa jumla ya miaka 54 akiwa padri. Miaka 42 ametumika…

Read More

Takukuru yaokoa Sh85 milioni za malipo ya walimu Mwanza

Mwanza. Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (Takukuru) Mkoa wa Mwanza imefanikiwa kudhibiti Sh85 milioni zilizokuwa zimecheleweshwa kutolewa kwa walimu wapya 77 wa shule za sekondari katika Halmashauri ya Jiji la Mwanza kwa miezi sita. Akizungumza na waandishi wa habari leo Jumatano, Februari 25, 2026 Mkuu wa Takukuru Mkoa wa Mwanza, Abnery Mganga amesema…

Read More

Mlinzi aeleza jinsi mshtakiwa alivyoiba Vodka, klabu ya The Voice, kuzificha kwenye fulana

Dar es Salaam. Mlinzi Klabu ya The Voice Tz Limited, iliyopo Tabata Kinyerezi, jijini Dar es Salaam,  Masoud Hassan, ameieleza Mahakama jinsi mshtakiwa Tumaini Moshi, alivyoficha vinywaji katika fulana yake ya bluu aliyoivaa, walipovamia katika klabu hiyo na kufanya vurugu akiwa na wenzake, Oktoba 29, 2025 Hassan ametoa ushahidi wake leo Jumatano, Februari 25, 2026…

Read More

Shahidi aieleza Mahakama chanzo jengo la CCM kuchomwa moto

Dar es Salaam. Mkaguzi wa Polisi mwenye namba PF 20122, Jafari Nguli (49) ameieleza Mahakama jinsi alivyobaini chanzo cha moto uliyounguza na kuteketeza jengo la Chama cha Mapinduzi (CCM) Kivule, lililopo Kata ya Majohe, Wilaya ya Ilala. Nguli ambaye alikuwa mpelelezi mkuu katika kesi hiyo, amedai upelelezi wake ulibaini chanzo cha kuchoma jengo hilo kilitokana…

Read More

Wataalamu wataja sababu ongezeko la mafua, Uviko-19

Dar es Salaam. Wakati Wizara ya Afya ikitoa tahadhari kwa wananchi kufuatia ongezeko la wagonjwa wa mafua makali na Uviko-19 nchini, wataalamu wa afya wameeleza sababu za kuongezeka kwa maambukizi hayo katika kipindi hiki. Aidha, wataalamu hao wametaja makundi yaliyo hatarini zaidi na kusisitiza umuhimu wa kupata matibabu stahiki mapema, badala ya kujitibu bila ushauri…

Read More

Serikali yaingilia kati mgomo wa madereva daladala Himo

Moshi. Madereva daladala eneo la Njia Panda, Himo wilayani Moshi mkoani Kilimanjaro, waligoma kwa zaidi ya saa tano wakidai madereva bajaji kuwanyang’anya abiria katika vituo vyao vya kupakia na kushusha abiria barabara ya Marangu–Mwika. Mgomo huo ulitokea Februari 25, 2026 na kusababisha usumbufu kwa wasafiri, huku daladala zikisitisha huduma zikishinikiza bajaji kuondoka katika eneo lao….

Read More

Maeneo yaliyotelekezwa Mbeya kurudishwa serikalini

Mbeya. Wizara ya Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi imewataka waliokuwa wamiliki wa maeneo ya viwanda jijini Mbeya yaliyotelekezwa kujisalimisha katika Ofisi ya Kamishna wa Ardhi mkoani humo kwa ajili ya kupewa maelekezo, kabla ya Serikali kuyarejesha na kuyapiga mnada. Hatua hiyo imefuatia ukaguzi uliofanywa Februari 25, 2026 katika viwanja takribani 127 vilivyotelekezwa kwa muda…

Read More

Takukuru yashtuka mamilioni ya fedha za walimu Mwanza

Mwanza. Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (Takukuru) Mkoa wa Mwanza imefanikiwa kudhibiti Sh85 milioni zilizokuwa zimecheleweshwa kutolewa kwa walimu wapya 77 wa shule za sekondari katika Halmashauri ya Jiji la Mwanza kwa miezi sita. Akizungumza na waandishi wa habari leo Jumatano, Februari 25, 2026 Mkuu wa Takukuru Mkoa wa Mwanza, Abnery Mganga amesema…

Read More