Shule mpya kumaliza adha ya kutembea umbali mrefu Mtambani, Janga
Kibaha. Wanafunzi wa sekondari katika kata za Mtambani na Janga, Halmashauri ya Wilaya ya Kibaha mkoani Pwani, wanatarajiwa kuondokana na adha ya kutembea umbali mrefu kufuata masomo, kufuatia mpango wa ujenzi wa shule mpya unaosukumwa na mbunge wa jimbo hilo. Akizungumza Februari 25, 2026 katika kikao cha kwanza baada ya Uchaguzi Mkuu wa 2025 kilichowakutanisha…