Mkakati kulinda Ziwa Tanganyika na Victoria

Kigoma. Mamlaka ya Ziwa Tanganyika (LTA) imesaini mkataba wa ushirikiano na Tume ya Bonde la Ziwa Victoria (LVBC), kwa ajili ya kubadilishana uzoefu wa jinsi ya kudhibiti rasilimali za maji, kilimo, sekta ya uchukuzi, kuunganisha shughuli za kiuchumi na maisha ya watu wanaozungukwa na maziwa hayo. Akizungumza leo Februari 25, 2026 mjini Kigoma, baada ya…

Read More

David Kihenzile Aanza Ujenzi wa Ofisi za CCM Mufindi Kusini

Global Publishers February 25, 2026 0 Comments MBUNGE wa Mufindi Kusini na Naibu Waziri wa Uchukuzi, David Kihenzile, ameanza zoezi la kujenga ofisi za Chama Cha Mapinduzi (CCM) katika jimbo zima, hatua itakayosaidia kutoa huduma bora kwa wanachama na wananchi. Akizungumza leo katika ziara yake ya mwendelezo katika jimbo lake, Kihenzile amesema kuwa zoezi hilo…

Read More

Watishiwa mapanga wakipambana na ukatili wa kijinsia Pangani

Tanga. Kamati za Mpango wa Taifa wa Kutokomeza Ukatili dhidi ya Wanawake na Watoto (Mtakuwa) katika Kata ya Madanga, Wilaya ya Pangani mkoani Tanga, zimeeleza kukabiliwa na vitisho vya kujeruhiwa kwa mapanga wakati zikitekeleza majukumu ya kushughulikia watuhumiwa wa ukatili wa kijinsia. Akizungumza leo Jumatano Februari 25, 2026 kwa niaba ya wenyeviti wa kamati hizo,…

Read More

BRECOL Yatangaza Ajira ya Quantity Surveyor – Omba Sasa

Global Publishers February 25, 2026 0 Comments 1️⃣ Quantity Surveyor (Civil Building Project) Minimum Qualifications: Bachelor of Science in Building, Quantity Surveying, Construction Management, or related field Minimum of 2 years proven experience in civil building projects Key Responsibilities: Prepare Bills of Quantities (BOQ), cost estimates, and tender documents Conduct cost analysis and budget control…

Read More

Walimu 258 wenye ulemavu wapigwa msasa elimu jumuishi

Unguja. Serikali imesema walimu 258 wamepatiwa mafunzo ya elimu jumuishi na walimu wataalamu 92 wameajiriwa kuhakikisha watu wenye ulemavu wakiwemo wanawake wanapata elimu bila vikwazo. Hayo yameelezwa leo Jumatano Februari 25, 2026 na Kaimu Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa kwanza wa Rais, ambaye pia ni Waziri wa Ofisi ya Makamu wa Pili wa…

Read More

Skimu ya umwagiliaji kunufaisha wakulima 24,500 Mwanga

Mwanga. Wananchi wa Kata ya Kigonigoni, Wilaya ya Mwanga mkoani Kilimanjaro, wameiomba Serikali kuharakisha utekelezaji wa mradi wa skimu ya umwagiliaji unaoendelea katika eneo hilo, wakisema kukamilika kwake kutawasaidia kujikwamua kiuchumi na kupunguza umaskini. Mradi huo unatarajiwa kugharimu zaidi ya Sh16 bilioni na utanufaisha wakulima zaidi ya 24,500 katika kata hiyo, kwa kuongeza tija katika…

Read More

Serikali yaridhishwa bei ya bidhaa mwezi wa Ramadhani

Unguja. Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar (SMZ) imesema imeridhishwa na mwenendo wa wafanyabiashara kuuza bidhaa kwa kuzingatia bei elekezi zilizowekwa na Serikali katika kipindi hiki cha mwezi Mtukufu wa Ramadhani. Kauli hiyo imetolewa leo Jumatano, Februari 25, 2026 na Kaimu Waziri wa Biashara na Maendeleo ya Viwanda Zanzibar, Shariff Ali Shariff, alipofanya ziara ya kukagua…

Read More

WAZIRI SANGU: MAHUSIANO MEMA MSINGI WA UMOJA WA TAIFA

-Ahimiza Mshikamano katika kujenga Tanzania Imara Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu – Kazi, Ajira na Mahusiano, Mhe. Deus Clement Sangu amesisitiza umuhimu wa kudumisha mahusiano mema ili kuimarisha umoja wa Taifa na kuchochea maendeleo endelevu nchini. ‎Mhe. Sangu amesema hayo wakati wa ufunguzi wa Kikao cha Wadau wa Mahusiano kilichofanyika tarehe Februari 24,…

Read More