Peramiho kesho kuamua mrithi wa Jenista Mhagama

Ruvuma. Jumla ya wapigakura 127,632 walioandikishwa katika Daftari la Kudumu la Wapiga Kura, wanatarajiwa kushiriki katika uchaguzi utakaofanyika kesho Februari 26, 2026 kwa ajili ya kumchagua mbunge wa Jimbo la Peramiho na diwani wa Kata ya Shiwinga. Uchaguzi wa Peramiho unafanyika kutokana na kifo cha aliyekuwa mbunge wa jimbo hilo, Jenista Mhagama (CCM) aliyefariki dunia…

Read More

Wizara ya Afya Yatoa Tahadhari Ongezeko la Influenza, UVIKO-19, Dengue na Kipindupindu – Video

WIZARA ya Afya imetoa taarifa kwa umma kuhusu mwenendo wa magonjwa ya mlipuko nchini, ikiwemo mafua makali ya Influenza, UVIKO-19, Homa ya Dengue na Kipindupindu, huku ikitoa tahadhari na wito kwa wananchi kuendelea kuchukua hatua za kujikinga. Katika taarifa hiyo iliyotolewa jijini Dodoma, Wizara imeeleza kuwa katika kipindi cha karibuni kumekuwapo na ongezeko la wagonjwa…

Read More

Wateja Stanbic kufanya malipo kwa urahisi zaidi

Dar es Salaam. Benki ya Stanbic Tanzania imezindua huduma ya malipo kwa wateja wake, hatua inayolenga kurahisisha miamala ya kidijitali kwa kuruhusu malipo kufanyika moja kwa moja kupitia Stanbic App au kwa kutumia huduma ya USSD. Uzinduzi huo unakuja baada ya mfumo wa Lipa Simpo kuwapo kwa muda, ukitumika zaidi kuwawezesha wafanyabiashara na wajasiriamali kupokea…

Read More