Tathmini yabaini udhaifu wa kuhesabu kwa wanafunzi wa awali

Dodoma. Tathmini iliyofanywa na Serikali kuhusu stadi za Kusoma, Kuandika na Kuhesabu (KKK) kwa wanafunzi wa darasa la awali hadi la tatu imebaini kuwa stadi ya kuhesabu iko chini ikilinganishwa na stadi za kusoma na kuandika. Kwa mujibu wa matokeo ya tathmini hiyo, wanafunzi wengi wanafanya vizuri zaidi katika kusoma, ikifuatiwa na kuandika, huku kuhesabu…

Read More

Sababu Rita kuvunja Bodi ya Wadhamini Kanisa la Wasabato

Dar es Salaam. Wakala wa Usajili, Ufilisi na Udhamini (Rita) umeivunja Bodi ya Wadhamini ya Kanisa la Waadventista Wasabato (SDA) Tanzania, kufuatia tuhuma za ubadhirifu wa mali za kanisa na kushindwa kutekeleza majukumu yao kwa mujibu wa sheria. Akizungumza na waandishi wa habari leo Jumatano Februari 25, 2026 jijini Dar es Salaam, Mtendaji Mkuu wa…

Read More

Nida kubadili muundo vitambulisho vya Taifa

Dar es Salaam. Mamlaka ya Vitambulisho vya Taifa (Nida) iko mbioni kuanza kutoa aina mpya ya Vitambulisho vya Taifa ambavyo vimeboreshwa na kuongezewa huduma nane ndani yake. Hayo yamesemwa na Mkurugenzi wa Uzalishaji wa Vitambulisho wa Nida, Edson Guyai katika mahojiano maalumu na Mwananchi yaliyofanyika Jumatatu, Februari 23, 2026. Wanufaika wa vitambulisho hivi vipya watakuwa…

Read More

Vibanda 72 vyafungwa Mbozi, wafanyabiashara wagoma

Songwe. Jumla ya vibanda 72 vinavyozunguka Soko la Ichenjezya, wilayani Mbozi Mkoa wa Songwe, vimefungwa na maofisa mapato wa halmashauri kufuatia mgogoro wa malimbikizo ya kodi ya pango. Hatua hiyo imeelezwa kuchochewa na madai ya kutolipwa kwa kodi tangu mwaka 2021 katika vibanda hivyo. Kufungwa kwa vibanda hivyo kumesababisha wafanyabiashara 167 wanaofanyia biashara ndani ya…

Read More

FYATU MFYATUZI: Nimewasamehe ‘mamluki’ waliokinukisha tukanuka

Juzi, Fyatu mmoja aliyefyatuka bila aibu wala woga akanifyatua na kuzusha kuwa nina uroho wa madaraka kana kwamba yeye hanao! Nani asiyependa madaraka? Kwanza, sikuamini ningehusishwa na dhambi hii ambayo chanzo chake ni shetani kutaka kumfyatua Sir God aliyemfinyanga asijue. Huwa nashangaa. Kwanini Sir God ‘mjua yote’ hakujua kuwa sheitwan angejaribu kumfyatua? Siishii hapo. Kifyatufyatu,…

Read More

UCHAMBUZI WA MJEMA: Ziara za Mwigulu zinaonyesha ombwe kwa taasisi imara

Katika ziara ya Waziri Mkuu wa Tanzania, Dk Mwigulu Nchemba inayoendelea mikoa mbalimbali, tunashuhudia akitatua na kuzipatia ufumbuzi papo kwa hapo, kero zinazowakabili watanzania lakini hili linathibitisha ombwe la taasisi imara. Ninasema hivyo kwa sababu kuna kero au changamoto zingine zingeweza kutatuliwa na wateule wengine wa Rais kama wakuu wa mikoa, wakuu wa wilaya, wakurugenzi…

Read More

RC SHIGELA AKABIDHI GARI ZA ZIMAMOTO BUKOMBE

Wananchi wa wilaya ya Bukombe mkoani Geita sasa wanaweza kupumua kwa amani baada ya Serikali ya Awamu ya Sita kukamilisha ahadi yake ya kuimarisha huduma za uokoaji na zimamoto wilayani humo. Katika hafla iliyopambwa na matumaini makubwa, Mkuu wa Mkoa wa Geita, Martin Shigela, amekabidhi magari ya msaada wa zimamoto ambayo yatakuwa mkombozi mkubwa katika…

Read More