Serikali kuendeleza mageuzi ya kidemokrasia, wasomi watahadharisha
Dar es Salaam. Wachambuzi wa siasa na diplomasia wameeleza kwamba, dhamira ya Serikali kuendeleza mageuzi ya kidemokrasia inaweza kuwa na mchango katika kuimarisha umoja wa kitaifa ikiwa itazingatia misingi ya uwazi, ushirikishwaji na kuheshimu utawala wa sheria. Wachambuzi wameeleza hayo leo Machi 9, 2026 baada ya Tanzania kuthibitisha dhamira yake ya kuendeleza mageuzi ya kidemokrasia…