Bayern Munich Wajipanga Kushinda Makombe Yote Msimu Huu

Wababe wa Ujerumani Bayern Munich wameendelea kuthibitisha ukubwa wao msimu huu baada ya kuendelea kufanya vyema kwenye michuano yote. Je msimu huu wanaweza kuibuka na mataji mangapi? Katika ligi ya Bundesliga, Bayern Munich imeonyesha ubora mkubwa kuanzia mwanzo wa msimu huku safu yao ya ushambuliaji ikiwa na makali makubwa ambayo inaongozwa na Harry Kane. Timu…

Read More

Migogoro ya ardhi na mirathi inavyowatesa wananchi

Tanga. Imeelezwa kuwa, migogoro ya ardhi na mirathi imeendelea kuwa chanzo cha malalamiko kwa wananchi nchini, hali iliyosababisha maelfu ya watu kutafuta ushauri kupitia kliniki za sheria zinazoendeshwa na Ofisi ya Mwanasheria Mkuu wa Serikali. Kupitia kliniki hizo, mawakili hushughulikia mashauri mbalimbali kwa kutoa ushauri wa kisheria na kuelekeza hatua zinazopaswa kuchukuliwa ili wananchi wapate…

Read More

‘House girl’ kizimbani akituhumiwa kujaribu kuua kichanga

Mwanza. Mfanyakazi wa kazi za nyumbani, Faima Twaibu (19), amefikishwa katika Mahakama ya Wilaya ya Ilemela mkoani Mwanza kwa tuhuma za kujaribu kumuua mtoto wake mchanga baada ya kujifungua. Faima, mkazi wa Bulyehele wilayani Ilemela, amefikishwa mahakamani leo Jumatatu Machi 9, 2026 mbele ya Hakimu Mkazi Mfawidhi, Christian Mwalimu. Katika shauri hilo namba 5112/2026, mshtakiwa…

Read More

Serikali kuendeleza mageuzi ya kidemokrasia, wasomi watahadharisha

Dar es Salaam. Wachambuzi wa siasa na diplomasia wameeleza kwamba, dhamira ya Serikali kuendeleza mageuzi ya kidemokrasia inaweza kuwa na mchango katika kuimarisha umoja wa kitaifa ikiwa itazingatia misingi ya uwazi, ushirikishwaji na kuheshimu utawala wa sheria. Wachambuzi wameeleza hayo leo Machi 9, 2026 baada ya Tanzania kuthibitisha dhamira yake ya kuendeleza mageuzi ya kidemokrasia…

Read More

Waziri Mkuu abaini dosari Nkasi, aagiza uchunguzi

Dar es Salaam. Waziri Mkuu, Dk Mwigulu Nchemba amebaini viashiria vya ubadhirifu wa fedha katika ujenzi wa mabweni ya Shule ya Sekondari ya Chala, Wilaya ya Nkasi mkoani Rukwa unaogharimu Sh310 milioni huku akiagiza Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (Takukuru) kuanza uchunguzi. Dk Mwigulu amehoji inakuaje mradi ambao bado haujaisha unapata nyufa na…

Read More