LATRA YAKAMATA MAWAKALA WA TIKETI FEKI STENDI YA MAGUFULI
Mkurugenzi Mkuu wa LATRA, CPA Habibu Suluo :::::::::::::: Na Mwandishi Wetu Mamlaka ya Udhibiti Usafiri Ardhini (LATRA) imewakamata watu waliokuwa wakijihusisha na uuzaji wa tiketi feki na nauli za kughushi katika Stendi ya Mabasi ya Magufuli, Mbezi Luis, Dar es Salaam. Hatua hiyo inakuja baada ya uchunguzi wa kina uliofanywa na LATRA kubaini udanganyifu katika…