Tanzania yateuliwa mwenyeji ununuzi wa pamoja wa dawa SADC
Dar es Salaam. Serikali ya Tanzania imeteuliwa kuwa mwenyeji wa Mpango wa Ununuzi wa Pamoja wa Dawa na vifaatiba kwa nchi za Jumuiya ya Maendeleo Kusini mwa Afrika (SADC), maarufu SPPS, hatua inayotarajiwa kupunguza gharama za dawa na kuimarisha upatikanaji wake katika ukanda huo. Licha ya kwamba Tanzania imewahi kuteuliwa awali, uteuzi wa sasa unaonekana…