Mwigulu Aonya Watumishi Kumiliki Vizimba Kwenye Masoko Ya Halmashauri
Global Publishers February 24, 2026 0 Comments Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Mwigulu Lameck Nchemba amewaonya watumishi wa Halmashauri mbalimbali ambao wamekuwa wakichukua vizimba katika masoko mbalimbali na kuvikodisha kwa gharama ya juu kwa wafanyabiashara, akisema ikiwa atabaini kufanyika kwa tabia hiyo, mtumishi huyo atakuwa amejifukuzisha kazi serikalini. Waziri Mkuu Mwigulu…