MENEJA WA TRA KILOMBERO AHIMIZA ULIPAJI KODI KWA HIARI
Kilombero Wakati awamu ya tatu ya kulipa Kodi ikitarajiwa kuhitimishwa hapo kesho tarehe 30.09.2025, Meneja wa Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) wilaya ya Kilombero mkoani Morogoro Bw. Innocent Minja amewataka Walipakodi ambao bado hawajakamilisha malipo ya Kodi zao, kulipa kwa hiari ndani ya muda uliosalia. Akizungumza na Walipakodi wakati wa zoezi la elimu ya Kodi…