MENEJA WA TRA KILOMBERO AHIMIZA ULIPAJI KODI KWA HIARI

Kilombero  Wakati awamu ya tatu ya kulipa Kodi ikitarajiwa kuhitimishwa hapo kesho tarehe 30.09.2025, Meneja wa Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) wilaya ya Kilombero mkoani Morogoro Bw. Innocent Minja amewataka Walipakodi ambao bado hawajakamilisha malipo ya Kodi zao, kulipa kwa hiari ndani ya muda uliosalia. Akizungumza na Walipakodi wakati wa zoezi la elimu ya Kodi…

Read More

Taasisi ya Na Simama na Mama Kuinua Wanawake na Kuhamasisha Uchaguzi wa Amani

Na Pamela Mollel,Arusha Taasisi ya Na Simama na Mama nchini Tanzania, yenye malengo ya kuinua wanawake katika nyanja mbalimbali za kiuchumi, imepanga kushiriki kwenye maandamano ya amani kwa lengo la kuhamasisha wananchi kushiriki uchaguzi kwa amani na mshikamano. Akizungumza na waandishi wa habari kuelekea siku ya uzinduzi wa taasisi hiyo kwa Kanda ya Kaskazini, Mwenyekiti…

Read More

MUHIMBILI YAANDIKA REKODI YA KWANZA AFRIKA MASHARIKI, WATOTO 103 WAPANDIKIZWA VIFAA VYA KUSAIDIA KUSIKIA

Katika kutekeleza azma ya mageuzi katika sekta ya afya nchini, Hospitali ya Taifa Muhimbili (MNH) imeweka historia kwa kuwa taasisi ya kwanza Afrika Mashariki kufanikisha upandikizaji wa vifaa vya kusaidia kusikia (cochlear implant) kwa watoto 103 ambapo hatua hiyo imeshuhudiwa leo Septemba 29, 2025, baada zoezi la vifaa 16 kuwashwa rasmi kwa watoto waliokuwa wakisumbuliwa…

Read More

Magonjwa, dawa na kelele vyatajwa vyanzo upungufu wa usikivu

Dar es Salaam. Watoto 16 wenye changamoto ya kusikia, wenye umri wa chini ya miaka mitano, wamepatiwa vifaa maalumu vya kusaidia kusikia (cochlear implant) katika Hospitali ya Taifa ya Muhimbili (MNH). Kupewa vifaa hivi ni kutokana na kuongezeka kwa matatizo ya usikivu nchini, ambapo takwimu zinaonyesha kuwa kwa kila watoto 1,000 wanaozaliwa nchini, wawili wanakutana…

Read More

Bandari ya Dar itakavyokabili ongezeko la mizigo mwisho wa mwaka

Dar es Salaam. Kadri msimu wa kilele cha usafirishaji wa mwisho wa mwaka unavyokaribia, wadau wa bandari wanaongeza kasi ya maandalizi kushughulikia kile kinachotarajiwa kwenye msimu wenye shughuli nyingi za mizigo bandarini. Mamlaka ya Usimamizi wa Bandari Tanzania (TPA), kwa kushirikiana na waendeshaji binafsi, imetangaza hatua kadhaa za kimkakati zinazolenga kuongeza ufanisi, kupunguza muda wa…

Read More

Wananchi wa Ubungo wameridhika, wapo tayari kuichagua CCM

………………. Na: Mwandishi Wetu, Ubungo Mwenyekiti wa Umoja wa Wanawake Tanzania (UWT) Taifa, Mary Chatanda amesema wananchi wa Jimbo la Ubungo Jijini Dar es Salaam wamemuhakikishia kuwa Oktoba 29, 2025, watachagua wagombea wote watokanao na Chama Cha Mapinduzi (CCM) kwani wameridhika na utekelezaji wa Ilani Jimboni hapo. Chatanda ameyasema hayo Septemba 29, 2025 , katika…

Read More