Mwinyi: Wananchi Mji Mkongwe mtapewa makazi, nyumba zenu zikikarabatiwa
Unguja. Mgombea urais wa Zanzibar kupitia Chama cha Mapinduzi (CCM), Dk Hussein Mwinyi amewaondolea hofu wananchi wa Mji Mkongwe kwamba licha ya mpango maalumu wa kuzifanyia marekebisho makubwa nyumba za mji huo, hakuna mwananchi hata mmoja atakayehamishwa katika eneo hilo. Pia, ameeleza alivyokataa wawekezaji wa Dola za Marekani 30 milioni, sawa na Sh73.5 bilioni kuwekeza…