Mahakama yakataa zuio kesi ya Mpina, yaruhusu mubashara

Dodoma. Mahakama Kuu Masjala Kuu ya Dodoma imekataa ombi la mwanachama wa Chama cha Alliance for Change and Transparency (ACT-Wazalendo), Luhaga Mpina, la kuzuia uchapishaji wa fomu za kupigia kura kwa nafasi ya urais. Mpina ametoa ombi hilo leo, Septemba 29, 2025, kupitia jopo la mawakili wake katika shauri lake la kikatiba la kupinga kuenguliwa…

Read More

KUTOKA NDANI YA JIMBO LA KIBAMBA JIONI YA LEO.

Picha mbalimbali za matukio ya Mgombea mwenza wa Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwa tiketi ya Chama Cha Mapinduzi (CCM), Dkt. Emmanuel John Nchimbi kwenye mkutano wake wa hadhara uliofanyika leo Septemba 29,2025 katika viwanja vya Malamba Mawili,Jimbo la Kibamba wilaya ya Ubungo jijini Dar es Salaam.  

Read More