BASHUNGWA NA MWASSA WASHIRIKI MAZISHI YA ASKOFU MKUU RUGAMBWA – BUKOBA.
Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Innocent Bashungwa, pamoja na Mkuu wa Mkoa wa Kagera, Hajjat Fatma Mwassa, wameungana na Maaskofu, Mapadri, Viongozi wa Kanisa Katoliki na waumini kushiriki Misa Takatifu ya mazishi ya Hayati Askofu Mkuu Novatus Rugambwa, Balozi wa Baba Mtakatifu. Misa hiyo Takatifu imeongozwa na Askofu Mkuu wa Jimbo Kuu Katoliki…