TRA YATAKA WANACHAMA WA SACCOS KUHAMASISHA ULIPAJI KODI NA MATUMIZI SAHIHI YA MIKOPO
Na Karama Kenyunko, Michuzi TV KAMISHNA wa Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA), Yusuph Mwenda, amewataka wanachama wa Saccos nchini kuwa mabalozi wa kuhamasisha wananchi kulipa kodi na kutumia mikopo kuanzisha shughuli za kiuchumi zitakazoongeza wigo wa walipa kodi nchini. Amesema, lengo la saccos za watumishi wa umma ni kuwawezesha kiuchumi ili kuongeza ustawi wa kaya…