Skip to content
  • Privacy Policy

HabariMpya

Habari za Kitaifa

  • Privacy Policy

Category: Habari

  • Home
  • Habari
  • Page 14
Habari

DIRA 2050 INA KINGA YA BUNGE-PROF MKUMBO

July 8, 2025 Admin

Na Mwandishi wetu  SERIKALI imewatoa hofu Watanzania kuhusu hoja ya kuwa utekelezaji Dira 2050 unaweza kukumbwa na changamoto ya uhalali wa kisheria na hivyo mpango

Read More
Habari

NELSON MANDELA KAMBI YA KITAIFA KWA WANAFUNZI WA PROGRAMU YA SAMIA EXTENDED SCHOLARSHIP DSA+

July 8, 2025 Admin

  Waziri wa Elimu, Sayansi na Teknolojia Prof Adolf Mkenda akipata maelezo kutoka kwa Mkuu wa Kituo cha Tehama Rasimali (ICT-RC) katika Taasisi ya NM-AIST

Read More
Habari

RAIS DKT.SAMIA APOKEA TUZO MAALUM ‘POWER OF 100 WOMEN AWARD’ KUTOKA BENKI YA ACCESS TANZANIA GROUP JIJINI DAR

July 8, 2025 Admin

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akiwa kwenye mazungumzo na Mwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi wa Benki ya Access

Read More
Habari

Wataalamu serikalini kutathmini uendeshaji bora bandari ya uvuvi Kilwa

July 8, 2025 Admin

Lindi. Wakati Bandari ya Uvuvi Kilwa ikitarajiwa kukamilika mwaka huu, wataalamu kutoka Wizara ya Uchukuzi na Wizara ya Mifugo na Uvuvi wameunda kamati ndogo ya

Read More
Habari

Wagonjwa wa ngozi waongezeka Bugando yashauri uvaaji kofia, nguo ndefu

July 8, 2025 Admin

Mwanza. Hospitali ya Rufaa ya Kanda Bugando imesema magonjwa ya ngozi yameongezeka kwa wananchi kutokana na mabadiliko ya tabianchi, uchafuzi wa hali ya hewa na

Read More
Habari

Vifaranga milioni 2.5 vya matango bahari, samaki vyazalishwa kuchochea uchumi wa buluu

July 8, 2025 Admin

Unguja. Katika kuhakikisha rasilimali za uchumi wa buluu zinakuwa na kunufaisha wananchi, vifaranga milioni 2.5 vya samaki na matango bahari vimezalishwa visiwani Zanzibar. Kati ya

Read More
Habari

Barrick yaingiza Sh12 trilioni katika uchumi wa Tanzania

July 8, 2025 Admin

Bulyanhulu. Kampuni ya Barrick imewekeza Dola 4.79 bilioni za Marekani(Sh12 trilioni) katika uchumi wa Tanzania katika kipindi cha miaka mitano iliyopita. Barrick imeeleza hayo Jumatatu

Read More
Habari

Wafanyakazi maeneo haya wapo hatarini kuugua ‘Silicosis’

July 8, 2025 Admin

Shinyanga. Watu wanaofanya kazi katika maeneo yanayozalisha vumbi ikiwemo migodini, mashineni na maeneo mengine kama hayo wametajwa kuwa hatarini kuugua ugonjwa wa Silicosis. Ugonjwa huo

Read More
Habari

KESI YA MAUAJI YA MUUZA MADINI MTWARA: Kutoka mipango, mauaji mpaka askari kunyongwa- 9

July 8, 2025 Admin

Dar es Salaam. Katika mfululizo wa mapitio ya hukumu ya kesi hii ya mauaji iliyokuwa ikiwakabili maofisa saba wa Jeshi la Polisi mkoani Mtwara, Mahakama

Read More
Habari

KATIBU MKUU MASWI AIPONGEZA OFISI YA WAKILI MKUU WA SERIKALI USIMAMIZI WA MASHAURI

July 8, 2025 Admin

Ofisi ya Wakili Mkuu wa Serikali imepongezwa kwa kuendelea kusimamia kwa weledi mashauri ya madai na usuluhishi hatua ambayo imesaidia Serikali kuongeza kasi katika kuwaletea

Read More

Posts pagination

Previous 1 … 13 14 15 … 2,760 Next

Categories

  • Burudani
  • Habari
  • Kimataifa
  • Magazeti
  • Michezo
All Rights Reserved 2024.
Proudly powered by WordPress | Theme: Fairy by Candid Themes.