NLD yaja na misingi kwa wananchi, ikishinda urais

Tanga. Chama cha National League for Democracy (NLD) kimezindua rasmi kampeni zake na kuwanadi wagombea wa nafasi za urais, ubunge na udiwani kuelekea uchaguzi mkuu wa Oktoba mwaka huu, huku kikieleza dira na misingi sita kitakayotumia katika uongozi wa nchi endapo kitapewa ridhaa na wananchi. Akizungumza katika uzinduzi huo leo Alhamisi Septemba 4, 2025, mgombea…

Read More

OSHA KUIWEZESHA SHULE YA KAMBANGWA VIFAA VYA KUJIFUNZIA

Na Mwandishi Wetu Wakala wa Usalama na Afya Mahali pa Kazi (OSHA) umeahidi kuiwezesha Shule yaSekondari Kambangwa iliyopo Kinondoni Jijini Dar es Salaam kwa kuipatia vifaa muhimu vya kujifunzia zikiwemo kompyuta, kichapishi (printer) pamoja na kujenga uzio wa shule hiyo. Ahadi hiyo imetolewa na Mtendaji Mkuu wa OSHA, Bi. Khadija Mwenda wakati akihutubia katika Mahafali…

Read More

DK.NCHIMBI AWAOMBA WANANCHI SHINYANGA KUMPIGIA KURA ZA KISHINDO ZA URAIS DKT.SAMIA,WABUNGE NA MADIWANI.

Mgombea Mwenza wa Urais wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Balozi Dkt. Emmanuel John NchimbiĀ  akiwahutubia Wakazi wa mji mdogo wa Isaka wilayani Kahama, jimbo la Msalala,kwenye mkutano mdogo wa hadhara leo Alhamis Septemba 3,2025,mkoani Shinyanga. Pamoja na mambo mengine Dkt Nchimbi pia aliwanadi wagombea Ubunge,akiwemo Mgombea Ubunge wa Jimbo la Msalala Mabula Johnson Magangila pamoja…

Read More

Rotary yatakiwa kugusa maisha, kujielekeza vijijini

Dar es Salaam. Uongozi na wanachama wa Klabu ya Rotary Club ya Bahari Dar es Salaam wametakiwa kupanua wigo wa huduma zao ili kuwafikia watu wengi zaidi katika sekta mbalimbali nchini. Wito huo umetolewa na Gavana Mkuu wa Rotary anayesimamia Tanzania na Uganda, Christine Kyeyune Kawooya, katika mkutano maalumu na wanachama wa klabu hiyo ambao…

Read More