Dkt. Samia Aahidi Ujenzi wa Bandari Mpya ya Bagamoyo – Video – Global Publishers
Last updated Sep 29, 2025 Mgombea urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM), Dkt. Samia Suluhu Hassan, ameahidi miradi mikubwa ya maendeleo ikiwa ni sehemu ya vipaumbele vya serikali atakayoongoza endapo atachaguliwa katika uchaguzi mkuu wa Oktoba 29, 2025. Akizungumza katika mkutano wa kampeni uliofanyika Jumapili, Septemba 28, 2025,…