Chaumma: Tutafuta njaa, tutarudisha tabasamu la Watanzania
Tanga. Mgombea mwenza wa Chama cha Ukombozi wa Umma (Chaumma), Devotha Minja, ameahidi kurejesha furaha ya Watanzania baada ya kuingia madarakani. Minja amesema kukosekana kwa furaha kunatokana na ugumu wa maisha waliyonayo Watanzania, ikiwemo kupanda kwa bei ya chakula, kodi, ushuru, ukosefu wa ajira pamoja na njaa. Amesema haiwezekani watu wakune vichwa kuhusu kile watakachokula…