Wanaume wahimizwa kupima saratani ya tezi dume mapema

Moshi. Wakati saratani ya tezi dume ikitajwa kushika kasi katika mikoa ya Kanda ya Kaskazini, tafiti zinaonesha kuwa kati ya wanaume 470 waliopimwa mwaka 2023, 170 walikutwa na saratani hiyo bila wao kujua. Hayo yameelezwa leo Septemba 28, 2025, na Mkurugenzi wa Kituo cha Utafiti wa Magonjwa Yasiyoambukiza (KCRI) cha Hospitali ya KCMC, Profesa Blandina…

Read More

Wazazi wahimizwa kuwekeza kwenye malezi bora ya watoto

Moshi. Wazazi wametakiwa kuwalea watoto katika misingi ya maadili na hofu ya Mungu, ili kujenga jamii yenye kizazi chenye nidhamu na maadili, hatua itakayowezesha kuepuka mmomonyoko wa maadili ambao umeendelea kuwa changamoto kwa Taifa. Rai hiyo imetolewa leo Septemba 28, 2025 na mwanafunzi wa uchungaji, Neema Mangale wakati akihubiri katika ibada ya sikukuu ya watoto…

Read More

Mwili wa Askofu Rugambwa wapokelewa Bukoba

Bukoba. Mwili wa Askofu Rugambwa, aliyekuwa Balozi wa Papa nchini New Zealand, umepokelewa na mamia ya waumini wa Kanisa Katoliki mkoani Kagera, uwanja wa ndege wa Bukoba ukiwasili kutoka Dar es Salaam. Mwili huo umewasili saa 6:17 mchana kwa ndege ya kampuni ya Air Tanzania. Baada ya kupokelewa uwanja wa ndege, umepelekwa makao makuu ya…

Read More

SAID SOUD SAID: Ole wao watakaolalia vitanda vya 6 × 6 Zanzibar

Haina maana kuwa ili ushindane na mtu sharti uwe hukubaliani naye. Inawezekana ukaona anafaa kwa kila nyanja, lakini kwa sababu ushindani umewekwa, unaamua kujitosa kumkabili unayemkubali. Inaitwa ushindani bila chuki. Said Soud Said ni mgombea urais wa Zanzibar kwenye Uchaguzi Mkuu 2025. Anasema anajitosa kumkabilia Rais aliye madarani, Dk Hussein Ali Mwinyi, lakini wakati huohuo…

Read More

TRA Yazindua Dawati Maalum la Uwezeshaji Biashara

KAMISHNA Mkuu wa Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA), Yusuph Juma Mwenda, amezindua Dawati Maalum la Uwezeshaji Biashara litakalosaidia kuwatambua wafanyabiashara ambao hawapo kwenye mfumo rasmi na kutatua changamoto zinazowakabili ili kukuza biashara zao. Uzinduzi huo umefanyika jana, Septemba 27, 2025, katika viwanja vya Mnazi Mmoja jijini Dar es Salaam na kuhudhuriwa na Mkuu wa Wilaya…

Read More