OMO aahidi kurasimisha mazao ya bahari Zanzibar

Unguja. Mgombea wa Zanzibar kwa tiketi ya ACT – Wazalendo, Othman Masoud Othman, maarufu OMO, ameahidi kuyageuza mazao ya bahari kuwa sekta rasmi yenye mchango mkubwa ili kukuza uchumi wa visiwa hivyo. Othman ameeleza hayo leo Jumapili, Septemba 28, 2025 wakati akizungumza na wavuvi na waanikaji wa dagaa eneo la Mangapwani, Wilaya ya Kaskazini B,…

Read More

Serikali kuongeza vituo vya gesi kufikia 18 mwaka huu

Dar es Salaam. Serikali inatarajia kuongeza idadi ya vituo vya kujazia gesi asilia kutoka 11 vilivyopo sasa jijini Dar es Salaam hadi 18 ifikapo mwishoni mwa mwaka huu, ikiwa ni sehemu ya jitihada za kupanua upatikanaji wa nishati safi na nafuu kwa wananchi. Kauli hiyo imetolewa na Katibu Mkuu wa Wizara ya Nishati, Felchesmi Mramba,…

Read More

BODI YA UTALII TANZANIA YASHEREKEA SIKU YA UTALII DUNIANI NA WADAU,YATOA VYETI VYA SHUKRANI

Na Mwandishi Wetu KATKA kuadhimisha Siku ya Utalii Duniani iliyofanyika Septemba 27, 2025, Bodi ya Utalii Tanzania (TTB) iliandaa usiku maalum uliowakutanisha wadau mbalimbali wa sekta ya utalii nchini, ikiwemo wanahabari, waongoza watalii, wamiliki wa kampuni za utalii, sekta ya malazi na watengeneza maudhui ya utalii. Hafla hiyo iliambatana na utoaji wa vyeti vya shukrani…

Read More

Mbinu za kutatua migogoro kwenye ndoa

Uhusiano wa watu wengi umefikia katika hali mbaya na mwingine kufa kabisa, huku wanandoa wakiachana katika maumivu na majeraha makali ya moyo. Chanzo kikubwa kikiwa kutojua kwao kuishughulikia migogoro inayojitokeza katika uhusiano wao. Mara nyingi katika ushauri tunasema shida sio kujikuta ndani ya migogoro bali shida ni namna mnavyoishughulikia migogoro hiyo. …

Read More

Ndugu watavunja ndoa kama mtawawezesha

Kuna usemi maarufu kuwa unaweza kuchagua marafiki, mwenza na hata maadui lakini si ndugu. Uwatake, usiwatake, ndugu wapo. Ndugu hatuwatengenezi wala kuwatafuta bali kutengenezewa na wazazi wetu. Hivyo, ndugu haepukiki katika maisha. Hatuna maana kuwa ndugu hawahitajiki. La hasha! Wanahitajika ila si katika kila jambo. Wanahitajika kwenye msaada na uzuri ili si katika hujuma. Leo,…

Read More

Nani msuluhishi wa ndoa yako?

Ndoa ni taasisi muhimu katika jamii, na inahitaji juhudi za pande zote mbili ili iendelee kudumu. Ingawa ndoa inaweza kuwa chanzo cha furaha na utulivu, pia inaweza kuwa na changamoto ambazo, ikiwa hazitashughulikiwa kwa uangalifu, zinaweza kusababisha migogoro, machafuko na hata talaka. Katika hali ya migogoro ya ndoa, usuluhishi unakuwa chombo muhimu cha kutatua matatizo…

Read More