Wasira: CCM kuweka kipaumbele ajira na uchumi wa vijana

Moshi. Makamu Mwenyekiti wa CCM Tanzania Bara, Stephen Wasira amesema kuwa chama hicho kitalitazama kwa karibu kundi la vijana, kulijengea mazingira mazuri ya uchumi na ajira kuanzania kwenye halmashauri. Wasira amesema hayo alipokuwa akizungumza na wana CCM mjini Moshi mkoani Kilimanjaro kuhusu kufanikisha ushindi wa kishindo kwa chama hicho  katika Uchaguzi Mkuu wa Oktoba 29,…

Read More

Njia anayopitia Mpina kuliendea sanduku la urais

‎‎Dar es Salaam. Jana, Ijumaa, Septemba 26, 2025, Mahakama Kuu Masjala Kuu Dodoma ilimpa kibali, Luhaga Mpina, kufungua shauri kupinga uamuzi wa Msajili wa Vyama vya Siasa kubatilisha uteuzi wake wa kuwa mgombea urais kwa tiketi ya ACT-Wazalendo. Katika uamuzi uliotolewa na Jaji Wilbert Chuma, ameelekeza Mpina kufungua shauri hilo ndani ya siku 14, kuanzia…

Read More

Mapya yaibuka mazishi ya Edgar Lungu

Pretoria. Zikiwa zimetimia siku 252 tangu kufariki dunia kwa Rais wa zamani wa Zambia, Edgar Lungu, mwili wake bado umehifadhiwa katika nyumba ya huduma za mazishi ya Two Mountains, Afrika Kusini kufuatia mvutano wa wapi azikwe, kati ya Serikali na familia yake. Wakati mvutano huo ukiendelea, familia ya Lungu imetoka hadharani kukanusha taarifa zinazosambaa mitandaoni…

Read More

Ahadi tano za CCM zilizoacha matumaini mikoa ya kusini

Ziara ya mgombea wa urais wa kupitia Chama cha Mapinduzi (CCM), Samia Suluhu Hassan katika mikoa ya kanda ya kusini imeacha matumaini kufutia ahadi tano alizozitoa zinazolenga kuchagiza uchumi ya kanda hiyo. Kwa siku sita Samia alipita katika majimbo ya mikoa ya Ruvuma, Lindi na Mtwara akiinadi ilani ya CCM na kutoa ahadi ambazo Serikali…

Read More

Ruwaich ataja athari za jamii kukizoea kifo

Dar es Salaam. Askofu Mkuu wa Kanisa Katoliki Jimbo Kuu la Dar es Salaam, Yuda Thadeus Ruwa’ichi ametuma ujumbe kwa Watanzania akiwataka kutokizoea kifo kwani kufanya hivyo watakuwa viumbe wa ajabu. Ametahadharisha endapo watu watajenga mazoea dhidi ya kifo, watasababisha mauaji ya binadamu wenzao kwa mzaha. Ametoa wito huo leo Jumamosi Septemba 27, 2025 wakati…

Read More