WANAWAKE WA NBAA WAADHIMISHA SIKU YA WANAWAKE DUNIANI DAR ES SALAAM
Wanawake wa Bodi ya Taifa ya Wahasibu na Wakaguzi wa Hesabu Tanzania (NBAA) wameungana na wanawake wengine kuadhimisha Siku ya Wanawake Duniani 2026, katika maadhimisho ya kimkoa yaliyofanyika Machi 8, 2026 katika Viwanja vya Barafu Mburahati, Wilaya ya Ubungo jijini Dar es Salaam. Maadhimisho hayo yalihudhuriwa na wanawake kutoka taasisi mbalimbali za umma na binafsi,…