Mkurugenzi Mtendaji wa Airtel, Kamoto Afanya Ziara ya Mradi wa Ukarabati Shule ya Msingi Kiromo

MKURUGENZI Mtendaji wa Airtel Tanzania, Charles Kamoto, pamoja na viongozi wengine wa kampuni, hivi karibuni walifanya ziara katika Shule ya Msingi Kiromo ili kuangalia maendeleo ya mradi wa ukarabati unaofadhiliwa na Airtel Tanzania. Mradi huu unaonyesha dhamira ya Airtel katika kuboresha mazingira ya kujifunzia na kusaidia elimu katika jamii wanazofanyia kazi. Wakati wa ziara, timu…

Read More

Teknolojia ya tiba mwanga inayopambana na magonjwa sugu

Dar es Salaam. Tiba mpya inayotumia mwanga maalumu inayojulikana kama phototherapy imeanza kuibua matumaini mapya kwa wagonjwa wa magonjwa sugu, ikiwamo kisukari, shinikizo la damu na matatizo ya figo. Kwa mujibu wa wataalamu wa afya, phototherapy ni aina ya matibabu yanayotumia mawimbi maalumu ya mwanga kuchochea mwili kuanza mchakato wa kujirekebisha na kupona. Teknolojia hii…

Read More

UNDP, UINGEREZA WATOA ZAIDI YA TSH MILIONI 70 KUIMARISHA BIASHARA BUNIFU ZA WANAFUNZI WA VYUO VIKUU TANZANIA

Mpango huo unatekelezwa na UNDP kupitia Mradi wa FUNGUO kwa ushirikiano na Serikali ya Uingereza kupitia FCDO. Ushirikiano huo unalenga kuimarisha mfumo wa ubunifu nchini kwa kuwaunganisha wanafunzi na ushauri elekezi, fursa za ufadhili pamoja na mazingira yatakayosaidia mawazo yao kukua na kuwa biashara endelevu. Kabla ya kutangazwa kwa washindi, timu za wanafunzi zilipata mafunzo…

Read More

Kihongosi aonya viongozi wa CCM wanaodhulumu wananchi

Itilima. Mwananchi wa Kijiji cha Lagangabilili wilayani Itilima, mkoani Simiyu, Mzee Majija Madata amewasilisha malalamiko kwa Katibu wa Itikadi, Uenezi na Mafunzo wa Chama cha Mapinduzi (CCM), Kenani Kihongosi, akidai kudhulumiwa shamba lake na mmoja wa viongozi wa CCM katika ngazi ya wilaya mkoani Shinyanga. Kihongosi yupo mkoani Simiyu tangu Machi 7, 2026 kwa ziara…

Read More

WAFANYAKAZI BARRICK BULYANHULU WAADHIMISHA SIKU YA WANAWAKE KWA KUWAPA FARAJA WATOTO WENYE MAHITAJI MAALUM BUPAMBA

Wafanyakazi Wanawake wa Barrick Bulyanhulu wakigawa zawadi mbalimbali na kuwafariji watoto wenye mahitaji maalum wanaosoma katika shule ya msingi ya wanafunzi wenye mahitaji maalum ya Bupamba iliyopo halmashauri ya Nyang’hwale mkoani Geita katika kuadhimisha Siku ya Wanawake Duniani Wafanyakazi Wanawake wa Barrick Bulyanhulu wakigawa zawadi mbalimbali na kuwafariji watoto wenye mahitaji maalum wanaosoma katika shule…

Read More

Watumishi Wanawake TCAA Waadhimisha Siku ya Wanawake Duniani 2026

Watumishi wanawake wa Mamlaaka ya Usafiri wa Anga Tanzania (TCAA) wameungana na wanawake wengine kuadhimisha Siku ya Wanawake Duniani 2026 katika maadhimisho ya kimkoa yaliyofanyika Viwanja vya Barafu Mburahati, Wilaya ya Ubungo jijini Dar es Salaam. Mgeni rasmi katika maadhimisho hayo alikuwa Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Mhe. Albert Chalamila, ambaye aliwahimiza wanawake…

Read More