Polisi yapiga marufuku maandamano Desemba 9

Dar es Salaam. Jeshi la Polisi nchini, limepiga marufuku maandamano yanayodaiwa kupangwa Desemba 9,2025 nchi nzima, likisema yamekosa sifa za kisheria ya kuruhusiwa kufanyika. Kwa mujibu wa polisi, hadi sasa hakuna barua yoyote iliyofikishwa au kupokelewa na ofisi yoyote ile ya Mkuu wa Polisi Wilaya nchini ya kutoa taarifa kuhusu kufanyika kwa maandamano hayo. Uamuzi…

Read More

Mapigano yaibuka DRC siku moja baada ya usuluhishi wa Trump

DRC. Mapigano yametokea tena Mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasi ya Congo kuanzia jana Ijumaa, ikiwa siku moja baada ya Rais wa Marekani, Donald Trump kuwakutanisha viongozi wa Congo na Rwanda mjini Washington kutia saini mikataba mipya inayolenga kumaliza mgogoro. Juzi Alhamisi Desemba 5, 2025, Rais wa Congo Felix Tshisekedi na Paul Kagame wa Rwanda walithibitisha…

Read More

WATUHUMIWA WANNE WAKAMATWA NA MADINI YA VITO MAHENGE

Watu wanne wamekamatwa na madini ya vito katika mtaa wa Togo, Wilaya ya Ulanga mkoani Morogoro, kufuatia operesheni maalum iliyofanywa na Ofisi ya Afisa Madini Mkazi Mahenge kwa kushirikiana na Jeshi la Polisi Wilaya ya Ulanga na uongozi wa Wilaya.Akizungumza na waandishi wa habari mapema jana kwa niaba ya Katibu Mtendaji wa Tume ya Madini,…

Read More

Ulinzi ulivyoimarishwa Dar | Mwananchi

Dar es Salaam. Ulinzi umeimarishwa. Ni hali inayoonekana dhahiri unapopita katika mitaa mbalimbali ya Jiji la Dar es Salaam kwa sasa. Kwa kadri siku zinavyosonga ndani ya wiki moja kumekuwa na mabadiliko kwenye baadhi ya mitaa hali ya ulinzi ikiimarishwa, kuelekea Desemba 9, siku iliyotajwa kutakuwa na maandamano. Unaweza kusema kila uchao idadi ya askari…

Read More

Ndemanga Aipongeza ADEM kwa Kuandaa Marathon

MKUU wa Wilaya ya Bagamoyo, Shaibu Ndemanga, amewapongeza Wakala wa Maendeleo ya Uongozi wa Elimu (ADEM) kwa kuratibu na kushiriki kikamilifu mbio za marathon zilizolenga kuhamasisha juhudi za kuboresha miundombinu ya elimu katika chuo hicho. Akizungumza leo Desemba 6, 2025, mjini Bagamoyo mkoani Pwani, Mhe. Ndemanga alisema ni muhimu kwa taasisi kama ADEM kutambua nafasi…

Read More

BENKI YA STANBIC YACHANGIA MADAWATI MKOANI MBEYA

Mkuu wa mkoa wa Mbeya Beno malisa ametoa wito kwa wakazi wa mkoa wa mbeya kuzilinda tunu za taifa za amani,umoja na mshikamano kuelekea sikukuu za mwisho wa mwaka za cristmas na mwaka mpya 2025. Wito huo umetolewa December 04 mwaka 2025 katika ofisi za halmashauri ya wilaya ya mbeya na Mkuu wa Mbarali Jenerali,…

Read More

CHATO TEACHERS SACCOS KUKOPESHA ZAIDI YA MIL. 775*

Katibu wa Chato teachers Saccos, Pius Katani, akitoa ufafanuziKushoto ni Katibu wa Saccos, Pius Katani,(katikati) mwenyekiti wa Saccos, Petro Rwegasira ***********  CHATO “Maendeleo ya kweli hayawezekani bila mabadiliko ya kifikra, na wale ambao hawawezi kubadilika namna wanavyofikiri hawawezi kubadili chochote” George Bernard Shaw alipata kuandika. Kutokana na ukweli huo unaweza kusema wazi kuwa kazi nzuri,…

Read More