Jaji amkumbusha DPP kukagua mahabusu za Polisi

Geita. Jaji Griffin Mwakapeje wa Mahakama Kuu, Kanda ya Geita, amemkumbusha Mkurugenzi wa Mashitaka Nchini (DPP), kufanya ukaguzi wa mara kwa mara kwenye mahabusu za Polisi ili kubaini wanaoshikiliwa kinyume cha sheria. Hatua hiyo ni baada ya jaji kubaini mtoto wa marehemu kushikiliwa mahabusu ya Polisi kwa siku 62 bila kuelezwa kosa lake, licha ya…

Read More