Ahueni wakulima Kishapu wakikabidhiwa matrekta

Shinyanga.  Wakulima wilayani Kishapu mkoani Shinyanga wamekabidhiwa matrekta yenye thamani ya Sh238.4 milioni ili kuondokana na matumizi ya jembe la mkono na kuongeza uzalishaji kupitia kilimo na kukuza uchumi wao na taifa kwa ujumla. Akikabidhi matrekta hayo Mkuu wa Wilaya ya Kishapu Peter Masindi leo Septemba 26, 2025 amesema hatua hiyo ni chachu ya kuwaletea…

Read More

OMO: Kinachopaswa kufanya na Wazanzibari tutafanya wenyewe

Unguja. Mgombea urais wa Zanzibar kwa tiketi ya ACT Wazalendo, Othman Masoud Othman amesema Serikali atakayoiunda itahakikisha shughuli zote zinazopaswa kufanywa na Wazanzibari, zinafanywa na wenyewe badala ya wageni. Othman maarufu ‘OMO’ amesema hatua hiyo, itasaidia  faida itakayopatikana kubakia katika mzunguko wa fedha Zanzibar, ili kupunguza ukali na ugumu wa maisha kwa Wazanzibari. Othman amesema…

Read More

KONGAMANO LA TAWEN MBEYA LIMELETA ELIMU NA FURSA

  Mtandao wa Uwezeshaji Wanawake Tanzania (TAWEN) umeendelea kuonesha dhamira yake ya dhati ya kuwawezesha wanawake na vijana kupitia kongamano kubwa lililofanyika jijini Mbeya, ambapo elimu na fursa mbalimbali ziliwasilishwa kwa washiriki kutoka sehemu tofauti za mkoa huo. Kongamano hilo lilifunguliwa rasmi na Mheshimiwa Solomoni Itunda, Mkuu wa Wilaya ya Mbeya, akimuwakilisha Mkuu wa Mkoa…

Read More

MGOMBEA URAIS CCM DK.SAMIA AANIKA MAENDELEO LUKUKI YALIYOPATIKANA MTWARA

*Aihitimisha kampeni zake mkoani humo kwa kishindo …wananchi wamuahidi kutiki Oktoba 29 Na Said Mwishehe,Michuzi TV-Mtwara. MGOMBEA Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwa tiketi ya CCM amesema katika miaka mitano iliyopita Mkoa wa  Mtwara kwa upande wa huduma za kijamii uwekezaji mkubwa umefanyika kwenye maeneo mbalimbali. Akizungumza leo Septemba 25,2025 katika mkutano wa…

Read More

DK.SAMIA AAHIDI SERIKALI KUONGEZA MATUMIZI YA TEKNOLOJIA ZA KISASA KATIKA UTOAJI HUDUMA

Na Said Mwishehe,Michuzi TV-Mtwara. MGOMBEA Urais kupitia Chama Cha Mapinduzi(CCM)Rais Dk.Samia Suluhu Hassan amesema Serikali inakwenda kuongeza matumizi ya teknolojia za kisasa ikiwemo akili unde ili kuimarisha ufanisi katika uzalishaji na utoaji huduma ikiwemo kwenye kilimo. Dk.Samia ameyasema hayo leo Septemba 25,2025 alipokuwa akihitimisha mkutano wa kampeni katika Mkoa wa Mtwara baada ya kufanya mikutano…

Read More

USANIFU WA BARABARA HUFANYIKA KABLA YA UJENZI

::::::: Imeelezwa kwamba Wakala ya Barabara za Vijijini na Mijini (TARURA) hufanya usanifu wa kina wa barabara kabla ya ujenzi kuanza kutekelezwa. Hayo yamebainishwa na Mhandisi wa miradi kutoka TARURA Faizer Mbange wakati akitoa elimu kwa umma kwa wananchi waliofika kwenye Maonesho ya Nane ya Madini Mkoani Geita. Amesema kwamba  barabara nyingi nchini zinazosimamiwa na…

Read More