Profesa Nombo ataja mambo matano kuimarisha elimu Afrika

Dar es Salaam. Katibu Mkuu wa Wizara ya Elimu, Sayansi na Teknolojia, Profesa Carolyne Nombo ametaja mambo matano ambayo nchi za Afrika zinapaswa kufanya kuinua sekta ya elimu ikiwemo uimarishaji wa mafunzo ya walimu. Mafunzo hayo ya walimu ni kwenye Tehama na stadi mbalimbali za elimu ili waendane na mabadiliko ya teknolojia na kuandaa wanafunzi…

Read More

CCM yaahidi kuendeleza jitihada kukuza zao la korosho

Mtwara. Mgombea urais wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Samia Suluhu Hassan ameahidi kuendeleza mapinduzi katika sekta ya kilimo, akisisitiza kuwa Serikali imewekeza kwa kiwango kikubwa katika ruzuku ya pembejeo ili kuongeza uzalishaji, hasa wa korosho na mazao mengine kote nchini. Akihutubia katika mkutano wa kampeni uliofanyika leo Septemba 26, 2025 mkoani Mtwara, Samia amesema katika…

Read More

Abbas Mwinyi azikwa Mangapwani, vigogo wahudhuria mazishi

Unguja. Wakati aliyekuwa mgombea ubunge wa Fuoni, Abbas Mwinyi akizikwa, baadhi ya wananchi kisiwani hapa wamemweleza namna ambavyo alikuwa mpole na hakupenda makuu. Abbas ambaye ni kaka wa Rais wa Zanzibar, Dk Hussein Mwinyi alifariki dunia usiku wa kuamkia jana, Septemba 25, 2025 katika Hospitali ya Mkoa Mjini Magharibi Lumumba alipokuwa akipatiwa matibabu na amezikwa…

Read More

Sababu mmoja kati ya wanne kupata mimba utotoni zatajwa

Dodoma. Wakati msichana mmoja kati ya wanne akipata mimba kati ya miaka 15-19, wataalamu wa afya wamesema ukimya wa wazazi, jamii na malezi yasiyofaa ndio chanzo cha wengi kuingia katika janga hilo. Wameeleza kuwa kutokujua ni lini mzazi aanze kuzungumza na kijana wake wa kike, kiume kuhusu afya ya uzazi huchangia mtoto kupata elimu isiyofaa…

Read More