TASAC YAONYA UTUPAJI WA PLASTIKI BAHARINI

Mwandishi Wetu, Dar es Salaam.Katika kuadhimisha siku ya usafiri wa majini Duniani,Shirika la Uwakala wa Meli Tanzania (TASAC) limetawaka wananchi kupunguza uchafuzi wa plastiki katika bahari na kulinda rasilimali hiyo kwa vizazi vijavyo. Takwimu za Shirika la Umoja wa Mataifa linaloshuhulikia Mazingira (UNEP) linaonyesha kila mwaka tani milioni 19 hadi 20 za plastiki zinatekezwa baharini…

Read More

Uchaguzi Malawi unavyoacha somo kwa mataifa ya Afrika

Dar es Salaam. Demokrasia ya Malawi imepiga hatua. Ndivyo unavyoweza kueleza kutokana na namna nchi hiyo imekuwa ikisimamia na kuratibu chaguzi zake kwa kuwapa wananchi uhuru na haki yao ya kuchagua viongozi wanaowataka na viongozi kuachiana kijiti bila mivutano. Tangu taifa hilo limepata uhuru wake mwaka 1964, limekuwa likibadilisha viongozi kupitia chaguzi za kidemokrasia ambapo…

Read More

Tanzania yasisitiza utatuzi wa migogoro dunaini

New York. Tanzania imelaani kuibuka upya kwa ukiukwaji wa sheria za kimataifa, hali inayochochea matumizi ya nguvu kama njia ya kutatua migogoro. Imeeleza kuwa mwenendo huo si tu unadhoofisha juhudi za kimataifa za kudumisha amani na usalama, bali pia unahatarisha maisha ya raia wasio na hatia katika maeneo ya migogoro. Pia, imesisitiza kuwa matumizi ya…

Read More

Ecobank Tanzania Yazindua Toleo Jipya la ‘Ellevate’ kwa Kuwawezesha Wajasiriamali Wanawake

 Ecobank Tanzania imezindua rasmi toleo lililoboreshwa la mpango wake wa “Ellevate by Ecobank”, likiwa na lengo la kuharakisha ujumuishaji wa kifedha na uwezeshaji wa kiuchumi kwa wanawake wajasiriamali.. Awali, Ellevate ilianzishwa kusaidia biashara ndogo na za kati (SMEs) zinazoongozwa au kumilikiwa na wanawake. Hata hivyo, mpango huu sasa umeboreshwa na kupanuliwa ili kuwafikia wanawake katika…

Read More

Bolt Tanzania Yagawa Discount Inayoitwa “BOLTXSIMBU” Kusherehekea Medali ya Kwanza ya Dhahabu ya Tanzania.

Bolt Tanzania kwa fahari inatangaza kuzindua nambari mpya ya punguzo, SIMBU, kwa heshima ya Alphonce Felix Simbu, aliyefanya historia kwa kuwa Mtanzania wa kwanza kushinda medali ya dhahabu katika Mashindano ya Dunia ya Riadha. Ushindi wa Simbu umeiweka Tanzania kwenye ramani ya riadha ya kimataifa, sambamba na mataifa yenye nguvu kama Kenya. Huu si ushindi…

Read More

Palestina yabakiza ngazi moja kuwa taifa huru

New York. Upatikanaji wa taifa huru la Palestina umebakiza ngazi moja, baada ya Baraza Kuu la Umoja wa Mataifa kupitisha kwa kura nyingi ‘Azimio la New York’ linalofufua suluhisho la mgogoro wa mataifa mawili – Israel na Palestina. Mkataba wa Montevideo wa mwaka 1933, ndio unaelekeza vigezo vya kutambua taifa huru chini ya sheria ya…

Read More