MGOMBEA URAIS CCM DK.SAMIA AWAHAKIKISHIA WANANCHI LINDI KUNUFAIKA NA MRADI GESI YA LNG

Na Said Mwishehe,Michuzi TV-Lindi. MGOMBEA urais kwa tiketi ya Chama Cha Mapinduzi(CCM) Rais Dk.Samia amewaambia wananchi wa Mkoa wa Lindi kuwa mradi wa  kuchakata Gesi Asilia (LNG)unaokwenda kuwanifaisha wananchi wote wakiwemo mkoa huo. Dk.Samia ameyasema  leo Septemba 25,2025 mkoani Lindi mkoani Lindi alipokuwa akihutubia maelfu ya wananchi wa katika mkutano wa kuomba kura kuelekea Uchaguzi…

Read More

MGOMBEA URAIS CCM DK.SAMIA AAHIDI SERIKALII KUJENGA MACHINJIO BORA,MAJOSHO

Na Said Mwishehe,Lindi  MGOMBEA urais kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM) Rais Dk.Samia Suluhu Hassan amesema katika miaka mitano ijayo Serikali itakwenda kujenga majosho na machinjio bora kwa mifugo ili nyama ya Tanzania iwe yenye viwango kutambulika maeneo mbalimbali duniani. Akizungumza na maelfu ya wananchi wa Jimbo la Mchinga mkoani Lindi Dk.Samia ametumia nafasi hiyo kuelezea…

Read More

DK SAMIA ASEMA SERIKALI ITAKAMILISHA MIRADI ILIYOANZISHWA NA ILE ILIYOAHIDIWA

Na Said Mwishehe,Michuzi TV-Mchinga MGOMBEA urais kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM) Rais Dk.Samia Suluhu Hassan amewaambia wananchi wa Jimbo la Mchinga mkoani Lindi kuwa  iwapo Chama hicho kitapewa ridhaa kuendesha serikali itakwenda kukamilisha miradi iliyoanzishwa na ile iliyoahidiwa kupitia Ilani ya uchaguzi. Dk.Samia ameyasema hayo  leo Septemba 25,2025 alipokuwa akizungumza na wananchi wa Jimbo la…

Read More

Askofu Mkuu Rugambwa anavyokumbukwa Vatican

Dar es Salaam. Kardinali Pietro Parolin, Katibu wa Vatican, ameongoza misa ya kumuombea na kumuaga, Askofu Mkuu Novatus Rugambwa, katika Kanisa Kuu la Mtakatifu Petro mjini Vatican. Kwa mujibu wa mtandao wa habari wa Vatican, vilevile walikuwapo Askofu Mkuu Msaidizi wa Vatican,  Edigar Pena Para, maaskofu wakuu, maaskofu na mapadri katika misa hiyo iliyoadhimishwa leo…

Read More

Kamisheni Bonde la Ziwa Victoria kupata ofisi zake

Musoma. Kamisheni ya Bonde la Ziwa Victoria (LVBC), inatarajia kutumia zaidi ya Sh13 bilioni kwenye ujenzi wa jengo la ofisi zake. Hata hivyo, tayari mradi wa ujenzi huo kwa sasa umeshafikia asilimia 99 za utekelezaji wake. Jengo hilo linalojengwa Mjini Kisumu nchini Kenya, litazinduliwa hivi karibuni na marais wa nchi nane za Jumuiya ya Afrika…

Read More

Serikali yaonya utupaji wa plastiki baharini

Dar es Salaam. Katika kuadhimisha Siku ya Usafiri wa Majini Duniani, Shirika la Uwakala wa Meli Tanzania (TASAC) limetawaka wananchi kupunguza uchafuzi wa plastiki katika bahari na kulinda rasilimali hiyo kwa vizazi vijavyo. Takwimu za Shirika la Umoja wa Mataifa linaloshuhulikia Mazingira (UNEP), linaonyesha kila mwaka tani milioni 19 hadi 20 za plastiki zinatekezwa baharini,…

Read More