Skip to content
  • Privacy Policy

HabariMpya

Habari za Kitaifa

  • Privacy Policy

Category: Habari

  • Home
  • Habari
  • Page 16
Habari

Wafanyakazi maeneo haya wapo hatarini kuugua ‘Silicosis’

July 8, 2025 Admin

Shinyanga. Watu wanaofanya kazi katika maeneo yanayozalisha vumbi ikiwemo migodini, mashineni na maeneo mengine kama hayo wametajwa kuwa hatarini kuugua ugonjwa wa Silicosis. Ugonjwa huo

Read More
Habari

KESI YA MAUAJI YA MUUZA MADINI MTWARA: Kutoka mipango, mauaji mpaka askari kunyongwa- 9

July 8, 2025 Admin

Dar es Salaam. Katika mfululizo wa mapitio ya hukumu ya kesi hii ya mauaji iliyokuwa ikiwakabili maofisa saba wa Jeshi la Polisi mkoani Mtwara, Mahakama

Read More
Habari

KATIBU MKUU MASWI AIPONGEZA OFISI YA WAKILI MKUU WA SERIKALI USIMAMIZI WA MASHAURI

July 8, 2025 Admin

Ofisi ya Wakili Mkuu wa Serikali imepongezwa kwa kuendelea kusimamia kwa weledi mashauri ya madai na usuluhishi hatua ambayo imesaidia Serikali kuongeza kasi katika kuwaletea

Read More
Habari

Matumaini mapya CCM ikipanga kuja na chombo huru cha uchunguzi wa uhalifu

July 8, 2025 Admin

Dar es Salaam. Mabadiliko makubwa katika mfumo wa haki jinai yanaweza kutokea nchini Tanzania ikiwa pendekezo la Chama cha Mapinduzi (CCM) la kuanzisha mamlaka mpya

Read More
Habari

ACT Wazalendo Mbeya yaongeza muda uchukuaji, urejeshaji fomu

July 8, 2025 Admin

Mbeya. Chama Cha ACT Wazalendo Mkoa wa Mbeya kimesogeza muda wa kuchukua fomu za kuwania nafasi mbalimbali za uongozi hadi Julai 20, badala ya iliyokuwapo

Read More
Habari

CHUO KIKUU CHA DODOMA CHATOA ELIMU KWA UMMA MAONESHO YA SABASABA

July 8, 2025 Admin

  Wananchi wameendelea kujitokeza kwa wingi kwenye Banda la Chuo Kikuu cha Dodoma (UDOM) kwa ajili ya kupata huduma mbalimbali zinazotelewa hapa katika Viwanja vya

Read More
Habari

TUME YA USHINDANI (FCC), KUTUMIA FURSA YA MAONESHO YA 49 YA BIASHARA YA KIMATAIFA (SABASABA) KWA KUTOA ELIMU KWA UMMA

July 8, 2025 Admin

  Bi. Roberta Feruzi, Mkuu wa Kitengo cha Mahusiano na Mawasiliano kwa Umma akitoa elimu kwa mwananchi aliyetembelea banda la (FCC) kuhusu kununua bidhaa sahihi

Read More
Habari

Wananchi walalamikia wizi wa mazao Kaskazini Unguja, RC atia neno

July 8, 2025 Admin

Unguja. Wananchi Mkoa wa Kaskazini Unguja wameiomba Serikali kufanya operesheni za mara kwa mara katika maeneo yanayotajwa kushamiri kwa vitendo vya wizi wa mazao, mifugo

Read More
Habari

TRA YAZIDI KUIHAMASISHA JAMII KUHUSU UMUHIMU WA TEKNOLOJIA KATIKA KULINDA WALAJI NA KUIMARISHA ULIPAJI WA KODI

July 8, 2025 Admin

Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA), kwa kushirikiana na Kampuni ya SICPA Tanzania, inaendelea kuelimisha umma kuhusu nafasi ya teknolojia katika kulinda walaji, kuimarisha ulipaji wa

Read More
Habari

Serikali yachunguza waziri aliyejipiga risasi Urusi

July 8, 2025 Admin

Serikali ya Urusi imeanza uchunguzi kutokana na kifo cha aliyekuwa Waziri wa Uchukuzi wa Urusi, Roman Starovoit  ambaye amekutwa amefariki dunia karibu na gari lake

Read More

Posts pagination

Previous 1 … 15 16 17 … 2,761 Next

Categories

  • Burudani
  • Habari
  • Kimataifa
  • Magazeti
  • Michezo
All Rights Reserved 2024.
Proudly powered by WordPress | Theme: Fairy by Candid Themes.