TAASISI ZA KIMATAIFA ZATAKIWA KUIACHA MIFUMO YA KITAIFA KUFANYA KAZI YAKE
::::::: Serikali ya Tanzania katika taarifa yake kwa Vyombo vya habari leo Ijumaa Disemba 05, 2025 imetangaza kuzipokea na kuzifanyia kazi taarifa na matamko mbalimbali yaliyotolewa na nchi rafiki, mashirika ya kimataifa na Taasisi za maendeleo kuhusu Tanzania na matukio ya uvunjifu wa amani wakati na baada ya Uchaguzi Mkuu wa Jumatano Oktoba 29, 2025….