
Askofu Shao azikwa, wananchi wakitakiwa kuliombea Taifa amani
Moshi. Mwili wa Askofu mstaafu wa Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania (KKKT) Dayosisi ya Kaskazini, Dk Martin Shao (86), umezikwa leo Alhamisi Septemba 4, 2025 katika Usharika wa Lole Mwika, Wilaya ya Moshi, mkoani Kilimanjaro. Katika ibada hiyo ya maziko, Mkuu wa KKKT, Dk Alex Malasusa akihubiri amewataka waumini na Watanzania kwa ujumla kuendelea…