BENKI YA STANBIC YACHANGIA MADAWATI MKOANI MBEYA

Mkuu wa mkoa wa Mbeya Beno malisa ametoa wito kwa wakazi wa mkoa wa mbeya kuzilinda tunu za taifa za amani,umoja na mshikamano kuelekea sikukuu za mwisho wa mwaka za cristmas na mwaka mpya 2025. Wito huo umetolewa December 04 mwaka 2025 katika ofisi za halmashauri ya wilaya ya mbeya na Mkuu wa Mbarali Jenerali,…

Read More

CHATO TEACHERS SACCOS KUKOPESHA ZAIDI YA MIL. 775*

Katibu wa Chato teachers Saccos, Pius Katani, akitoa ufafanuziKushoto ni Katibu wa Saccos, Pius Katani,(katikati) mwenyekiti wa Saccos, Petro Rwegasira ***********  CHATO “Maendeleo ya kweli hayawezekani bila mabadiliko ya kifikra, na wale ambao hawawezi kubadilika namna wanavyofikiri hawawezi kubadili chochote” George Bernard Shaw alipata kuandika. Kutokana na ukweli huo unaweza kusema wazi kuwa kazi nzuri,…

Read More

𝗖𝗖𝗠 𝗛𝗔𝗜𝗧𝗔𝗦𝗜𝗧𝗔 𝗞𝗨𝗪𝗔𝗖𝗛𝗨𝗞𝗨𝗟𝗜𝗔 𝗛𝗔𝗧𝗨𝗔 𝗪𝗔𝗧𝗨𝗠𝗜𝗦𝗛𝗜 𝗪𝗔 𝗨𝗠𝗠𝗔 𝗪𝗔𝗕𝗔𝗕𝗔𝗜𝗦𝗛𝗔𝗝𝗜 – 𝗠𝗪𝗘𝗡𝗘𝗭𝗜 𝗞𝗘𝗡𝗔𝗡𝗜

𝘼𝙨𝙚𝙢𝙖 𝘾𝘾𝙈 𝙞𝙣𝙖 𝙬𝙖𝙟𝙞𝙗𝙪 𝙬𝙖 𝙠𝙪𝙛𝙪𝙖𝙩𝙞𝙡𝙞𝙖 𝙪𝙩𝙚𝙠𝙚𝙡𝙚𝙯𝙖𝙟𝙞 𝙬𝙖 𝙞𝙡𝙖𝙣𝙞 𝙮𝙖𝙠𝙚 𝙠𝙬𝙖𝙠𝙪𝙬𝙖 𝙨𝙚𝙧𝙞𝙠𝙖𝙡𝙞 𝙞𝙣𝙖𝙩𝙤𝙠𝙖𝙣𝙖 𝙣𝙖 𝙘𝙝𝙖𝙢𝙖 𝙝𝙞𝙘𝙝𝙤. Katibu wa Halmashauri Kuu ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) Itikadi, Uenezi na Mafunzo Ndugu. 𝗞𝗲𝗻𝗮𝗻𝗶 𝗞𝗶𝗵𝗼𝗻𝗴𝗼𝘀𝗶 amewataka watumishi wa umma kutekeleza majukumu yao ya kuwahudumia wananchi kwa kutanguliza utu na muda. Akizungumza na viongozi mbalimbali wa chama na jumuiya…

Read More

Waziri Ndejembe Mitata Janja za Umeme

NA MWANDISHI WETU WAZIRI wa Nishati, Deogratius Ndejembi amezindua rasmi mita janja (smart meter) yenye lengo la kuboresha na kumrahisishia mteja kufanya manunuzi ya umeme moja kwa moja ikiwa ni mageuzi makubwa ya teknolojia yanayofanywa na TANESCO katika kuongeza ufanisi wa utoaji wa huduma kwa wateja. Ndejembi amezindua Mita janja hizo Disemba 05, 2025 katika…

Read More

Serikali kuweka mazingira wezeshi kwa wafanyabiashara katika kulinda ushindani wa soko.

Na Mwandishi Wetu   Serikali imesema kuwa itahakikisha wafanyabiashara wanapata mazingira wezeshi ya biashara, kupata faida, na kuchangia katika ukuaji endelevu wa uchumi wa taifa. Hayo yameelezwa na Naibu Waziri wa Viwanda na Biashara, Patrobas Katambi  alipomuwakilisha Waziri wa Viwanda na Biashara, Judith Kapinga, katika Kilele cha Maadhimisho ya Siku ya Ushindani Duniani, yaliyofanyika  Jijini Dar…

Read More

Zigo kwa madiwani | Mwananchi

Dar/Mikoani. Uapisho wa madiwani katika maeneo mbalimbali nchini umefungua ukurasa mpya wa majukumu, matarajio na mitihani. Pamoja na kupewa dhamana ya uwakilishi kwa miaka mitano, wajibu mkubwa umewekwa mezani: kusikiliza wananchi, kutatua migogoro, kusimamia miradi, kulinda amani na kuhakikisha halmashauri zinasonga mbele. Katika kauli zilizotolewa na viongozi wa wilaya na mikoa, ujumbe unaojirudia ni mmoja:…

Read More

Mageuzi, Tanesco ikizindua mita janja

Dar es Salaam. Shirika la Umeme Tanzania (Tanesco), limezindua mita janja za umeme ambazo zitamwezesha mtumiaji anaponunua umeme unaingia moja kwa moja. Ilivyo sasa baada ya kununua umeme unalazimika kuingiza tokeni kwenye mita au kwa kutumia rimoti. Mita mpya za kielektroniki zina uwezo wa kuwasiliana kimfumo, hivyo kumwezesha mteja kulipia na kuingiza umeme kwenye mita…

Read More