Dk Tulia aahidi miradi ya kipaumbele Uyole

Mbeya. Mgombea ubunge wa Uyole, Dk Tulia Ackson ameahidi kuchimba visima vikubwa katika kata ya Itezi ili kumaliza adha ya maji kwa wananchi wake ikiwa ni miongoni mwa vipaumbele vyake katika jimbo hilo. Vipaumbele vingine alivyojiwekea Dk Tulia ni pamoja na kuimarisha miundombinu ya barabara na kusimamia utoaji mikopo ya asilimia 10 kwa wanawake, vijana…

Read More

DC KYOBYA AAINISHA VYANZO VYA KODI KILOMBERO

::::::: Kilombero  Mkuu wa wilaya ya Kilombero mkoani Morogoro Mh. Dunstan Kyobya amesema wilaya anayoiongoza ina vyanzo vingi vya mapato ambavyo vimekuwa vikichangia makusanyo ya Kodi ya Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) kwa maendeleo ya Taifa. Ameyasema hayo leo tarehe 25.09.2025 wilayani Kilombero alipotembelewa na maofisa wa TRA wanaoendesha zoezi la kutoa elimu ya Kodi…

Read More

Tafiti na masoko ya madini yawapa wachimbaji wadogo fursa ya mikopo

Geita. Uwepo wa tafiti za kijiolojia zinazowawezesha wachimbaji kuchimba maeneo yenye uhakika, pamoja na uanzishwaji wa masoko ya madini yanayohifadhi kumbukumbu za mauzo, umetajwa kuwa kichocheo cha taasisi za fedha kuanza kuwakopesha wachimbaji wadogo. Akizungumza leo Alhamisi, Septemba 25, 2025, kwenye Maonesho ya Nane ya Kitaifa ya Teknolojia ya Madini yanayoendelea mkoani Geita, Mkuu wa…

Read More

Mke adaiwa kujiteka, akishinikiza mume kulipa Sh10 milioni

Mwanza. Polisi Mkoa wa Mwanza linamshikilia Loveness Kisile (30), mkazi wa Mtaa wa Temeke, jijini Mwanza akituhumiwa kutoa taarifa za uongo kwa askari, ndugu, jamaa na marafiki kuwa ametekwa. ‎Anadaiwa kutoa taarifa kwa mume na ndugu zake kwamba ametekwa na watu watatu waliotaka Sh10 milioni ili wasimdhuru na kuondoa ujauzito aliokuwa nao. Kamanda wa Polisi…

Read More

Mwanamama mdau wa Usafiri wa Anga Tanzania Atambuliwa Katika Mkutano wa 42 wa ICAO

  Sekta ya anga ya Tanzania imepata kutambulika kimataifa wiki hii wakati Bi. Rosemary Kacungira, Mkurugenzi Mtendaji na Mwanzilishi wa Equity Aviation, alipoheshimiwa katika Mkutano wa 42 wa Shirika la Kimataifa la Usafiri wa Anga (ICAO) unaoendelea Montreal, Canada. Bi. Kacungira alionyeshwa katika heshima maalumu ikionesha mafanikio yake wakati wa Kikao cha Ufunguzi cha Mkutano,…

Read More

MSHINDI WA ZIGO LA MWEZI LA PIKU AKABIDHIWA PIKIPIKI

Na Mwandishi Wetu JUKWAA la kidijitali la PIKU Afrika, linaloendesha minada ya kipekee kupitia mtandaoni, leo Septemba 25, 2025 limetangaza na kukabidhi zawadi kwa washindi wa awamu ya tano ya promosheni yake ya minada ya kidijitali. Katika hafla hiyo iliyofanyika Mabibo jijini Dar es Salaam, mshindi wa kwanza Adam Ahmed Adam alikabidhiwa pikipiki mpya aina…

Read More

Samia: CCM ndiyo italinda na kuinua utu wa Mtanzania

Lindi. Mgombea urais wa Chama cha Mapinduzi (CCM) Samia Suluhu Hassan amesema hakuna chama kitakachoweza kulinda na kuinua utu wa Mtanzania kama chama chake, hivyo ifikapo Oktoba 29 wananchi hawapaswi kufanya makosa. Samia ameyasema hayo katika mkutano wa hadhara uliofanyika jimbo la Mchinga ambapo pamoja na kuomba ridhaa ya urais  alimnadi mgombea ubunge wa jimbo…

Read More