Wanafunzi NM-AIST wabuni roboti la ukaguzi viwandani

Arusha. Wanafunzi watatu kutoka Chuo cha Sayansi na Teknolojia cha Nelson Mandela (NM-AIST), wamebuni roboti lenye uwezo wa kukagua chupa za vinywaji katika mchakato wa uzalishaji viwandani. Mashine hiyo iliyotengenezwa kwa ushirikiano wa Profesa Anaeli Sam, Dk Judith Leo na Jared Nganyi, inafanya kazi kwa mfumo wa kunyanyua na kushusha, ikiwa na mkono wa roboti…

Read More

Aliyekutwa akisafirisha kokeni jela maisha

Arusha. Mahakama Kuu Divisheni ya Makosa ya Rushwa na Uhujumu Uchumi ,imemuhukumu kifungo cha maisha jela, Hemed Mrisho, maarufu Horohoro baada ya kumtia hatiani kwa kosa la kusafirisha dawa za kulevya aina ya kokeni gramu 326.46. Hukumu hiyo ilitolewa Septemba 23, 2025 na Jaji Sedekia Kisanya aliyekuwa akisikiliza kesi hiyo ya uhujumu uchumi ya mwaka…

Read More

TEC yawapa onyo mapadri, watawa

Dar es Salaam. Kanisa Katoliki nchibni Tanzania limewapiga marufuku watawa, mapadri na waseminari kujihusisha na kampeni za uchaguzi za chama chochote cha siasa, wala kuvaa sare zao ili kulinda heshima na usafi wa kanisa hilo. Wito huo umetolewa leo Septemba 25, 2025 na Rais wa Baraza la Maaskofu Katoliki Tanzania (TEC), Askofu Wolfgang Pisa, wakati…

Read More

TOTALEENERGIES YATOA ELIMU YA USALAMA BARABARANI KWA MARA YA KWANZA DODOMA

::::::::: Mkurugenzi wa Sheria na Uhusiano wa Kampuni ya TotalEnergies Tanzania, Getrude Mpangile, amesema kampuni hiyo imetoa  Elimu ya usalama barabarani katika Shule ya Msingi Mnadani Septemba 24,2025 ikiwa ni mara ya kwanza kufanyika katika Mkoa wa Dodoma. ‎Amesema elimu hiyo inalenga kuwafundisha watoto sheria na kanuni za usalama barabarani ili waweze kutumia barabara kwa…

Read More

Saba waunganishwa kesi bosi wa Jatu, wasomewa mashtaka 37

Dar es Salaam. Watu saba sambamba na  kampuni ya Jatu Public Limited, wamefikishwa katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu wakikabiliwa na mashtaka 37 yakiwamo ya ubadhilifu wa fedha, kutakatisha fedha na kuisababishia hasara Jatu Saccos ya  Sh3.149 bilioni. Katika mashtaka hayo 37,  32 yanaikabili kampuni ya Jatu Public Limited ambayo ni kutakatisha fedha kwa kujipatia…

Read More