RIDHIWANI KIKWETE ASHIRIKI KAMPENI LUGOBA, AAHIDI MAENDELEO JUMUISHI NA USHIRIKIANO WA DHATI

📌Bagamoyo, Pwani 24 Septemba 2025: 🆕Mgombea ubunge wa Jimbo la Chalinze kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM), Mheshimiwa Ridhiwani Kikwete, ameshiriki mkutano mkubwa wa kampeni uliofanyika katika kata ya Lugoba, wilayani Bagamoyo, ambapo alipokelewa kwa shangwe na hamasa kubwa kutoka kwa wananchi wa eneo hilo. Katika mkutano huo uliojaa shamrashamra, Mheshimiwa Ridhiwani aliungana na Diwani wa…

Read More

NCCR-Mageuzi yaahidi kutumbua mafisadi kikipewa ridhaa

Kibaha. Mgombea urais kupitia Chama cha NCCR-Magezi, Haji Khamis ameahidi kusimamia maadili ya uongozi na kuwawajibisha viongozi watakaobainika kutumia ofisi za umma kwa manufaa binafsi, endapo atachaguliwa katika uchaguzi mkuu ujao. Akihutubia mkutano wa kampeni uliofanyika Jumatano Septemba 24, 2025 mjini Kibaha, Khamis amesema moja ya changamoto kubwa nchini ni viongozi wa ngazi za utekelezaji…

Read More

Benki zinavyolinda na kuboresha uhai wako

Dar es Salaam. Kwa sehemu kubwa, wengi wetu tunafahamu kuwa jukumu kuu la benki ni kuhifadhi fedha, kutoa mikopo, kusimamia malipo pamoja na kutoa ushauri wa kifedha. Hata hivyo, jambo ambalo wengi hatulifahamu ni kwamba benki hizi sasa zimepewa wajibu mpana zaidi unaogusa moja kwa moja uhai na mustakabali wa kila mmoja wetu. Katika zama…

Read More

Zingatia haya kabla ya kufanya uamuzi wa kifedha

Kila siku tunafanya uamuzi wa kifedha ambao ni sehemu muhimu ya safari ya kila mtu katika kuendesha maisha na pia kuelekea ustawi wa kifedha. Hata hivyo, watu wengi mara nyingi hupuuzia umuhimu wa kupanga, kufanya utafiti, na kulinganisha watoa huduma au bidhaa kabla ya kufanya uamuzi wa kifedha. Tabia hii inaweza kusababisha matumizi yasiyo ya…

Read More

VIWANDA NA VYUO VIKUU KUUNGANISHWA KWA MAFUNZO YA VITENDO

  KATIKA  kuhakikisha mafunzo ya darasani yanaendana na mahitaji halisi ya soko la ajira, Katibu Mkuu wa Wizara ya Elimu, Sayansi na Teknolojia, Prof. Carolyne Nombo, amekutana na Afisa Mtendaji Mkuu wa Chama cha Waajiri Tanzania (ATE), Bi. Suzzane Ndomba, kwa mazungumzo ya namna ya kuwawezesha vijana wahitimu kupata mafunzo ya vitendo sehemu za kazi….

Read More

NCCR-Magezi yaahidi kutumbua mafisadi kikipewa ridhaa

Kibaha. Mgombea urais kupitia Chama cha NCCR-Magezi, Haji Khamis ameahidi kusimamia maadili ya uongozi na kuwawajibisha viongozi watakaobainika kutumia ofisi za umma kwa manufaa binafsi, endapo atachaguliwa katika uchaguzi mkuu ujao. Akihutubia mkutano wa kampeni uliofanyika Jumatano Septemba 24, 2025 mjini Kibaha, Khamis amesema moja ya changamoto kubwa nchini ni viongozi wa ngazi za utekelezaji…

Read More

Hukumu rufaa kesi ya Nyundo na wenzake kusomwa leo

‎Dodoma. Hukumu ya kesi ya rufaa waliyoikata Nyundo na wenzake watatu ya kupinga kifungo cha maisha gerezani inatarajiwa kutolewa kesho Septemba 25, 2025 kwenye Mahakama Kuu Kanda ya Dodoma. ‎Nyundo na wenzake watatu walihukumiwa kifungo cha maisha gerezani baada ya Mahakama ya Hakimu Mkazi Dodoma kuwakuta na hatia kwenye mashtaka yaliyokuwa yanawakabili ya kubaka kwa…

Read More

Mwaka 2025 na sura halisi ya mwanawake na uongozi kisiasa

Dar es Salaam. Uchaguzi Mkuu wa Tanzania mwaka huu umeweka rekodi mpya kwa namna wanawake walivyojitokeza kuwania nafasi za juu za uongozi. Historia hii mpya imeandikwa kutokana na ongezeko la wagombea wanawake wanaowania nafasi mbalimbali zikiwamo za urais sambamba na wagombea wenza. Hatua hii inaonesha mafanikio ya mapambano ya usawa wa kijinsia, demokrasia na mustakabali…

Read More