ELIMU YA KODI MLANGO KWA MLANGO YAWA KIVUTIO MOROGORO
Morogoro, Baadhi ya Walipakodi mkoani Morogoro wameeleza kuvutiwa na elimu ya kodi mlango kwa mlango inayotolewa na Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) na kueleza namna linavyowasaidia kutatua changamoto zinazowakabili wakiwa katika maeneo yao ya biashara. Wakizungumza kwa nyakati tofauti walipotembelewa na timu ya kutoa elimu ya kodi mlango kwa mlango mkoani morogoro iliyongozwa na Meneja…