Trump ‘aikomalia’ Hamas, viongozi wengine wataka taifa huru la Palestina
Dar es Salaam. Wakati Rais Donald Trump akisema kutambua taifa la Palestina ni “zawadi kwa Hamas,” viongozi wengine, akiwemo Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa, Antonio Guterres, wameunga mkono kuanzishwa kwa taifa huru la Palestina. Viongozi hao wametoa maoni yao wakati wakihutubia kwa nyakati tofauti mkutano wa 80 wa Baraza Kuu la Umoja wa Mataifa…