Wanne waliohukumiwa miaka 30 jela waachiwa

Arusha. Mahakama Kuu Masijala Ndogo ya Tabora, imewaachia huru wanne waliokuwa wamehukumiwa kifungo cha miaka 30 jela baada ya kukutwa na hatia ya wizi wa kutumia silaha. Walioachiwa ni Adamu Seleli, Juma Ramadhani, Ramadhani Juma na Hamisi Emmanuel ambao kwa pamoja walihukumiwa kifungo cha miaka 30 jela na Mahakama ya Wilaya ya Nzega. Warufani hao…

Read More

Mashirika ya umma yasiyofanya vizuri kufutwa au kuunganishwa

Na Mwandishi wa OMH Dar es Salaam. Serikali imetoa onyo kwa taasisi na mashirika ya umma yasiyoonesha ufanisi, ikisema yako hatarini kufutwa au kuunganishwa endapo hayatachukua hatua madhubuti za kuboresha utendaji wao. Onyo hilo lilitolewa Ijumaa, Disemba 5, 2025, na Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais—Mipango na Uwekezaji, Prof. Kitila Mkumbo, wakati wa ziara yake…

Read More

Hekaya za Mlevi: Mitandao iwe chachu ya mafanikio

Dar es Salaam. Kila jambo lina umri wake wa kulifanya. Kama vile mtoto anavyoanza kukaa, kutambaa, kusimama, kutembea hadi kukimbia, maishani mwetu pia kuna mambo mengi yanayofanyika kulingana na wakati husika. Kwa mfano ni lazima uwe na umri fulani ili uweze kuendesha gari. Kuendesha gari na kuoa kunafanana kwenye mambo kadhaa: Ni lazima uwe umetosha…

Read More

Sambo, Meya mpya Kigamboni | Mwananchi

Dar es Salaam. Madiwani 14 wa Halmashauri ya Kigamboni wamemchagua Diwani wa Kata ya Kibada, Amani Mzuri Sambo, kuwa Meya wa Halmashauri hiyo, akichukua nafasi iliyoachwa na Ernest Mafimbo aliyemaliza muda wake wa uongozi. Katika uchaguzi huo uliofanyika leo Desemba 5, 2025, Sambo ambaye alikuwa mgombea pekee, alipata kura 13 za ndiyo na mojawapo ya…

Read More

Dk Mwigulu awaambia wananchi wasihofu misaada ilikuwa miaka ya 90

Mwanza. Wakati baadhi ya wananchi wakihofia kusitishwa kwa misaada nchini kufuatia matamko mbalimbali ya kimataifa, Waziri Mkuu, Dk Mwigulu Nchemba amewatoa hofu wanaohofia kusitishwa kwa misaada nchini, akisema misaada ilikuwa miaka ya ’90’ (1990). Akizungumza na wakazi wa jijini Mwanza katika uwanja wa Nyamagana leo Ijumaa Desemba 5, 2025, Dk Mwigulu amewataka wasihofie misaada kwakuwa…

Read More