KONA YA MALOTO: Uchaguzi Mkuu 2025, harakati na ukumbusho muhimu

Rais Samia Suluhu Hassan, ambaye anawania kurejea madarakani kwa muhula wa pili, hivi karibuni alitoa kauli, na kwa msisitizo alikumbusha kwamba yeye ndiye Amiri Jeshi Mkuu. Alisema, Oktoba 29, 2025, siku ya uchaguzi, amani, utulivu na usalama vitatawala, watu wajiandae kupiga kura bila wasiwasi. Alisema: “Hakutakuwa na nywinywi wala nywinywinywi.” Kauli hiyo ya Rais Samia,…

Read More

Kombe la Europa Linarindima na Fursa za Ushindi Meridianbet

MASHINDANO ya Kombe la Europa yanarejea kwa kishindo leo, huku kila kikosi kikijiandaa kwa vita ya pointi muhimu kuelekea hatua za juu zaidi. Kwa mashabiki wa kubashiri, Meridianbet imeweka mezani michezo mingi ya kuvutia na machaguo tele kuhakikisha huachiwi nyuma katika safari ya ushindi. Kutoka jiji la Sevilla, Real Betis wanaingia dimbani Estadio De La…

Read More

Sababu mabango ya upinzani ‘kufunikwa’

Kampeni za uchaguzi zinahusisha njia nyingi zinazowafanya wananchi wahamasike kumchagua mgombea au chama fulani ambacho kitawafikia na kuwashawishi kwamba ndiyo kinastahili kuongoza Serikali. Moja ya njia hizo ni mikutano ya hadhara ambayo vyama vya siasa vinakwenda moja kwa moja kwa wananchi na kuwaeleza kuhusu ilani za vyama vyao na kuahidi mambo ambayo wakipewa ridhaa watayafanya…

Read More

NIKAMBIE MAMA: Wala rushwa katika sura ya hisani

Mtu wa Pwani anaweza kuuliza swali linalofanana na jibu: “Hapo pajani pajani?” Kama anayeulizwa ni wa kutoka bara anaweza kujibu: “Sasa kumbe ulifikiria pajani ni gotini?” Lakini kumbe anakuwa hajaelewa kabisa mwenzake anaulizia nini. Swali ni: “Hapo kwenye paja panakuja nini? Ni kama mtu aliyeona dalili ya kitu kisicho cha kawaida (labda kipele hivi) kwenye…

Read More