Mbinu 5 za Kumbaini Mpenzi Mchepukaji – Global Publishers

Last updated Sep 22, 2025 USALITI ni jambo baya katika uhusiano. Usaliti si ujanja japo wengi wanaowaza kusaliti huwa wanajiona wajanja. Wanajiona wamewini pale ambapo wanasaliti na wenzi wao kutogundua kama wanasalitiwa. Siku zote anayesaliti huwa anajiona mjanja kwamba, yeye anasaliti wakati mwenzake hasaliti. Kwa asilimia kubwa, wanaume hujiona kama usaliti ni halali yao….

Read More

WADAU MBALIMBALI WAPEWA ELIMU KATIKA BANDA LA TASAC

Shirika la Uwakala wa Meli Tanzania (TASAC) limeshiriki maonesho ya Nane ya Teknolojia ya Madini yanayofanyika katika viwanja vya Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan vilivyopo mkoani Geita kuanzia tarehe 18 hadi 28 Septemba, 2025. Wadau mbalimbali wametembelea banda la TASAC na kupata elimu ya ugomboaji wa bidhaa ikiwemo makinikia, vilipuzi na madawa yanayotumika kwenye migodi…

Read More

AKU’s F4L Project Transforms Education in Tanzania

*Revolutionizing primary education in Tanzania, one teacher at a time *A three-year journey to revolutionize primary education has culminated in a powerful success story. By Reporter The Aga Khan University’s Institute for Educational Development, East Africa (IED, EA) recently celebrated the conclusion of its groundbreaking Foundations for Learning (F4L) project (2022-2025), a pivotal initiative aimed…

Read More

MAKAMU WA RAIS AFUNGUA JUKWAA LA BIASHARA NA UWEKEZAJI KATI YA TANZANIA NA MAREKANI

…………… Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Philip Mpango amesema Tanzania ipo tayari kufanya kazi kwa karibu na jumuiya ya wafanyabiashara wa Marekani pamoja na kuwezesha uwekezaji kupitia sheria zilizofanyiwa marekebisho, miundombinu iliyoboreshwa, na uchumi huria.   Makamu wa Rais amesema hayo wakati akifungua Jukwaa la Biashara na Uwekezaji kati…

Read More

Lissu aomba kuirahisishia kazi Jamhuri ushahidi wa kesi yake

Dar es Salaam. Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Tundu Lissu, ameiomba Jamhuri isihangaike kuwaita mashahidi kuthibitisha baadhi ya vielelezo vya ushahidi katika kesi ya uhaini inayomkabili, akisema kuwa hana shida navyo. Lissu amewasilisha ombi hilo mahakamani baada ya kusomewa shtaka la uhaini linalomkabili na kujibu, kisha akasomewa maelezo ya awali ya kesi…

Read More