Moto Mkubwa Wateketeza Jengo Kariakoo, Chanzo Bado Hakijulikani – Global Publishers
Last updated Sep 22, 2025 Dar es Salaam: Moto mkubwa umezuka leo katika jengo lililopo pembe ya mtaa wa Nyamwezi na Narung’ombe, eneo la Kariakoo jijini Dar es Salaam. Mashuhuda wamesema moto huo ulianza ghafla na kuendelea kusambaa kwa kasi, huku chanzo chake kikiwa bado hakijafahamika. Vikosi vya zimamoto na uokoaji…