Moto wateketeza stoo ya viatu Kariakoo

Dar es Salaam. Taharuki imetanda katika Mtaa wa Narung’ombe, Kariakoo baada ya sehemu ya jengo lenye ghorofa saba kuungua moto leo, huku chanzo cha moto kikiwa bado hakijajulikana. Moto huo umetokea leo Septemba 22, 2025 katika Mtaa wa Narung’ombe katika moja ya ghorofa linalotumika kuhifadhia mizigo ya wafanyabiashara mbalimbali waliopanga eneo la Kariakoo. Mashuhuda wamesema…

Read More

Samsung Galaxy A25 Yakungoja Ukicheza Super Heli

USHINDI haupo tu kwenye dau unaloliweka bali upo kwenye namna unavyozitumia fursa, na aina ya zawadiunazozipata. Meridianbet imebadilisha mchezo kwa kuleta ofa ya kipekee, simu mpya ya Samsung Galaxy A25 kwa wachezaji wa Super Heli. Hii si promosheni ya kawaida, ni mwaliko wa kuingia kwenye dunia ya ushindi wa teknolojia. Super Heli ni mchezo wa…

Read More

Rais Samia aendelea kupaisha utalii tiba nchini

-Globalmedicare yapongezwa kwa uratibu mzuri Na Mwandishi Wetu MADAKTARI bingwa wa hospitali tano nchini wanatarajiwa kufanya kambi ya wiki moja nchini Comoro ikiwa ni utekelezaji wa agizo la Rais Samia Suluhu Hassan alilotoa wakati wa ziara yake visiwani humo. Hospitali tano zitakazoshiriki kambi ya mwaka huu ni Benjamin Mkapa ya mkoani Dodoma, Hospitali ya Moyo…

Read More

TADB YACHOCHEA MAENDELEO YA KILIMO NA UFUGAJI KIGOMA

Na Mwandishi wetu Benki ya Maendeleo ya Kilimo Tanzania (TADB) imewezesha  ujenzi wa Kiwanda cha Kuku wa mayai cha Mayai Ltd kinachomilikiwa na Bw. Rupinder Sandhu kimejengwa katika kijiji cha  Kimbwela, kata ya simbo, Mkoani Kigoma. Akizungumzia Kiwanda hicho, Afisa Maendeleo ya Biashara toka  TADB Bwana Patrick D. Kapungu amesema Kiwanda hicho ni kikubwa katika…

Read More

DK.SAMIA AANIKA MKAKATI WA KUUFANYA MKOA WA RUVUMA KUWA KITOVU CHA BIASHARA KWA UKANDA MIKOA YA KUSINI

Na Said Mwishehe,Michuzi TV-Ruvuma MGOMBEA urais kwa tiketi ya Chama Cha Mapinduzi(CCM)Rais Dk.Samia Suluhu Hassan amesema katika miaka mitano ijayo Serikali inakwenda kuufungua mkoa wa Ruvuma kuwa kitovu lakini pia ukanda mzima wa kusini (Ruvuma, Mtwara na Lindi) kuwa ukanda wa biashara. Akizungumza mbele ya maelfu ya wananchi wa wa Mji wa Songea mkoani Ruvuma…

Read More

Benki ya NBC ‘Yawanoa’ wafanyabiashara Tanzania – Afrika Kusini kuhusu Masoko ya Fedha za Kigeni

Benki ya Taifa ya Biashara (NBC) imetoa elimu maalum kwa wafanyabiashara baina ya Tanzania na Afrika Kusini kuhusu masoko ya fedha za kigeni sambamba na muelekeo wa hali ya kiuchumi hususani nchini Tanzania. Hatua hiyo ililenga kuwajengea uwezo na ufanisi zaidi wafanyabiashara hao utakaowasaidia kufanya uamuzi sahihi kwenye masuala yanayohusu manunuzi ya fedha hizo na…

Read More