Benki ya NBC ‘Yawanoa’ wafanyabiashara Tanzania – Afrika Kusini kuhusu Masoko ya Fedha za Kigeni

Benki ya Taifa ya Biashara (NBC) imetoa elimu maalum kwa wafanyabiashara baina ya Tanzania na Afrika Kusini kuhusu masoko ya fedha za kigeni sambamba na muelekeo wa hali ya kiuchumi hususani nchini Tanzania. Hatua hiyo ililenga kuwajengea uwezo na ufanisi zaidi wafanyabiashara hao utakaowasaidia kufanya uamuzi sahihi kwenye masuala yanayohusu manunuzi ya fedha hizo na…

Read More

INEC yasisitiza Mpina si mgombea urais

Dar es Salaam. Tume Huru ya Taifa Uchaguzi (INEC), imesisitiza msimamo wake kuhusu Luhaga Mpina aliyekuwa akiwania kiti cha urais kupitia chama cha ACT – Wazalendo kwamba  hajapitishwa kuwa mgombea wa kiti hicho. Kupitia taarifa kwa umma iliyotolewa na Tume hiyo leo Jumatatu Septemba 22, 2025, INEC imesema ACT – Wazalendo hakina mgombea wa urais…

Read More

Mahakama yamkatalia Lissu kesi yake kusikilizwa mubashara

Dar es Salaam. Mahakama Kuu Masjala Ndogo Dar es Salaam, imeyakataa maombi ya Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Tundu Lissu, ya kesi yake kusikilizwa mubashara. Mahakama hiyo imesema kuwa ingawa ni msingi muhimu wa haki huru, kwamba haki inatakiwa siyo tu itendeke, bali  ionekane ikitendeka, lakini imesema kuwa hata hivyo hakuna kanuni zinazosimamia…

Read More

Lissu akwama tena kujinasua katika kesi ya uhaini

Dar es Salaam. Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Tundu Lissu, amekwama tena kwenye jaribio la kujinasua katika kesi ya uhaini inayomkabili, baada ya Mahakama Kuu Masjala Ndogo Dar es Salaam kutupilia mbali sababu nyingine ya pingamizi lake. Hii ni mara ya pili kwa Lissu jitihada zake za kumaliza kesi hiyo kwa mbinu…

Read More

Polisi, TLS ngoma bado, Mwabukusi atoa angalizo

Dar es Salaam. Mvutano baina ya Chama cha Mawakili Tanganyika (TLS), umeendelea kuchukua sura mpya na sasa askari wa Jeshi la Polisi nchini Tanzania, wamezingira ofisi za chama hicho zilizopo Mikocheni, Dar es Salaam. Kwa mujibu wa taarifa iliyosainiwa na Rais wa TLS, Boniface Mwabukusi imeeleza makao makuu yake yamezingirwa na askari tangu asubuhi ya…

Read More