
Idadi ndogo ya kesi za wanawake na wasichana yashtua Mahakama ya Afrika, yaitisha kongamano kujadili
Na Seif Mangwangi, Arusha KUFUATIA kuwepo kwa idadi ndogo ya kesi zinazohusu wanawake katika Mahakama ya Afrika ya Haki za Binadamu na Watu (AfCPHR), Mahakama hiyo imelazimika kuwakutanisha wadau mbalimbali ili kuboresha uelewa wao kuhusu taratibu za Mahakama na nafasi ya wanawake na wasichana katika kupata Haki. Kwa mujibu wa Naibu Msajili wa Mahakama hiyo,…