TANESCO yazindua mita janja kupunguza changamoto za token
TANESCO yazindua mita janja kupunguza changamoto za token – Global Publishers Home Habari TANESCO yazindua mita janja kupunguza changamoto za token
TANESCO yazindua mita janja kupunguza changamoto za token – Global Publishers Home Habari TANESCO yazindua mita janja kupunguza changamoto za token
Na Mwandishi wa OMH Dar es Salaam. Serikali imetoa onyo kwa taasisi na mashirika ya umma yasiyoonesha ufanisi, ikisema yako hatarini kufutwa au kuunganishwa endapo hayatachukua hatua madhubuti za kuboresha utendaji wao. Onyo hilo lilitolewa Ijumaa, Disemba 5, 2025, na Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais—Mipango na Uwekezaji, Prof. Kitila Mkumbo, wakati wa ziara yake…
Dar es Salaam. Kila jambo lina umri wake wa kulifanya. Kama vile mtoto anavyoanza kukaa, kutambaa, kusimama, kutembea hadi kukimbia, maishani mwetu pia kuna mambo mengi yanayofanyika kulingana na wakati husika. Kwa mfano ni lazima uwe na umri fulani ili uweze kuendesha gari. Kuendesha gari na kuoa kunafanana kwenye mambo kadhaa: Ni lazima uwe umetosha…
Waziri Mkuu: Dkt. Samia Ni Rais Wa Vitendo, Ametoa Ajira mpya 12,000 – Global Publishers Home Habari Waziri Mkuu: Dkt. Samia Ni Rais Wa Vitendo, Ametoa Ajira mpya 12,000
Dar es Salaam. Madiwani 14 wa Halmashauri ya Kigamboni wamemchagua Diwani wa Kata ya Kibada, Amani Mzuri Sambo, kuwa Meya wa Halmashauri hiyo, akichukua nafasi iliyoachwa na Ernest Mafimbo aliyemaliza muda wake wa uongozi. Katika uchaguzi huo uliofanyika leo Desemba 5, 2025, Sambo ambaye alikuwa mgombea pekee, alipata kura 13 za ndiyo na mojawapo ya…
Mwanza. Wakati baadhi ya wananchi wakihofia kusitishwa kwa misaada nchini kufuatia matamko mbalimbali ya kimataifa, Waziri Mkuu, Dk Mwigulu Nchemba amewatoa hofu wanaohofia kusitishwa kwa misaada nchini, akisema misaada ilikuwa miaka ya ’90’ (1990). Akizungumza na wakazi wa jijini Mwanza katika uwanja wa Nyamagana leo Ijumaa Desemba 5, 2025, Dk Mwigulu amewataka wasihofie misaada kwakuwa…
Jaji Mkuu, George Masaju Awaasa Mawakili Wapya Kudumisha Uadilifu, Utawala Wa Sheria – Global Publishers Home Habari Jaji Mkuu, George Masaju Awaasa Mawakili Wapya Kudumisha Uadilifu, Utawala Wa Sheria
TRA Yaibuka Kidedea Tuzo ya Uandaaji Hesabu Kwa Viwango vya Kimataifa – Global Publishers Home Habari TRA Yaibuka Kidedea Tuzo ya Uandaaji Hesabu Kwa Viwango vya Kimataifa
Makundi ya Kombe la Dunia 2026 Yatangazwa, Vigogo Waangukia Kundi la Kifo – Global Publishers Home Michezo Makundi ya Kombe la Dunia 2026 Yatangazwa, Vigogo Waangukia Kundi la Kifo
Serikali Yatoa Majibu Juu ya Hoja za Jumuiya ya Kimataifa Kuhusu Vurugu za Uchaguzi – Global Publishers Home Habari Serikali Yatoa Majibu Juu ya Hoja za Jumuiya ya Kimataifa Kuhusu Vurugu za Uchaguzi