PIKU Afrika yakabidhi zawadi kwa washindi wa awamu ya nne ya mnada wa kidijitali
Na Mwandishi Wetu JUKWAA la kidijitali la PIKU Afrika, linaloendesha minada ya kipekee kupitia mtandao, leo Septemba 20, 2025, limetangaza na kukabidhi zawadi kwa washindi wa awamu ya nne ya promosheni yake ya minada ya kidijitali. Katika hafla hiyo, washindi wawili bora waliibuka na zawadi mbalimbali kama ifuatavyo: Mshindi wa kwanza, Hamimu Madenge, Meneja wa…