DKT.NCHIMBI ATUA RASMI SONGEA KUSAKA KURA ZA CCM

Mgombea mwenza wa Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwa tiketi ya CCM, Dk Emmanuel Nchimbi amewasili Songea, mkoani Ruvuma leo Septemba 19, 2025. Dk Nchimbi ataungana tena na Mgombea urais wa chama hicho, Dkt.Samia Suluhu Hassan anayetarajiwa kuwasili kesho ambapo watakutana mkoa mmoja tangu Agosti 28, mwaka huu walipozindua kampeni za chama hicho…

Read More

WAAJIRIWA WAPYA ARDHI WATAKIWA KUWA WABUNIFU

Na Munir Shemweta, WANMM Katibu Mkuu Wizara ya Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi Mhandisi Anthony Sanga amewataka waajiriwa wapya wa Wizara hiyo kuwa wabunifu sambamba na kuwajibika ipasavyo ili kuboresha utendaji kazi katika maeneo waliyopangiwa. Mhandisi Sanga ametoa kauli hiyo tarehe 18 Septemba 2025 wakati wa Mafunzo ya Awali kwa waajiriwa wapya 312 watakaohudumu…

Read More

Mkutano wa NCCR-Mageuzi Sumbawanga wakwama, sababu yarajwa

Rukwa. “Mgombea urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia NCCR-Mageuzi, Ambari Haji Hamisi, ameshindwa kuhutubia mkutano wa kampeni katika viwanja vya Sabato Jangwani, Manispaa ya Sumbawanga mkoani Rukwa, baada ya kujitokeza wananchi wachache. Tukio hilo limetokea baada ya wananchi kutojitokeza kwa wingi kama ilivyotarajiwa. Hata hivyo, mkutano uliendelea kwa kuhutubiwa na wagombea wawili wa…

Read More

Viwanda vya mbolea, tumbaku kujengwa Tabora

Tabora. Mkoa wa Tabora unatarajiwa kunufaika na ujenzi wa viwanda vya mbolea na cha kuchakata tumbaku ili kuongeza thamani ya mazao ya kilimo ya chakula na biashara sambamba na kuchochea ukuaji wa uchumi wa mkoa huo na taifa kwa ujumla. Viwanda hivyo vinatarajiwa kujengwa katika kipindi kifupi kijacho, ikiwa ni sehemu ya mkakati wa Serikali…

Read More