NAIBU WAZIRI ATAKA TAASISI ZA VIWANDA NA BIASHARA KUONGEZA NGUVU KATIKA TAFITI ZA TEKNOLOJIA

 :::::::: Naibu Waziri wa Viwanda na Biashara, Patrobas Katambi, amezitaka taasisi zote chini ya wizara hiyo kuongeza msukumo katika kufanya tafiti, hususan zinazohusisha matumizi ya akili mnemba, ili kuchochea maendeleo ya kiuchumi kwa mtu mmoja mmoja na Taifa kwa ujumla. Akizungumza jijini Dar es Salaam wakati wa maadhimisho ya Siku ya Ushindani Duniani, Katambi alisema…

Read More

NEMC Yawatembelea Watoto Wenye Ulemavu

-𝐘𝐚𝐬𝐡𝐢𝐤𝐚 𝐦𝐤𝐨𝐧𝐨 𝐊𝐢𝐭𝐮𝐨 𝐜𝐡𝐚 𝐄𝐫𝐢𝐜k 𝐌𝐞𝐦𝐨𝐫𝐢𝐚𝐥 𝐌𝐨𝐫𝐨𝐠𝐨𝐫𝐨 Baraza la Taifa la Hifadhi na Usimamizi wa Mazingira (NEMC) kupitia timu yake ya wanamichezo wanaoshiriki mashindano ya SHIMMUTA 2025 wametembelea Kituo cha kulelea watoto wenye ulemavu cha Erick Memorial mkoani Morogoro Disemba 4, 2025. Timu hiyo ya NEMC ilipata fursa ya kutembelea, kufariji na kuwapa misaada ya…

Read More

DKT. NICAS: SITAWAVUMILIA WATENDAJI WASIOWAJIBIKA

Na Khadija Kalili, Kibaha MEYA wa Manispaa ya Kibaha Dkt. Nicas Mawazo amesema kuwa hawatamvumilia mtendaji ambaye atakwamisha maendeleo ya wananchi. Dkt.Mawazo amesema hayo leo tarehe 3 Desemba 2025 alipoongea na Waandishi wa habari mara baada ya baraza la madiwani la Halmashauri ambalo lilimchagua kuwa Meya wa Halmashauri hiyo. Amesema kuwa watumishi wakiwemo wakuu wa…

Read More

ISW YAENDELEA KUNG’ARA KWENYE TUZO ZA NBAA

:::::::: Naibu Mkuu wa Taasisi Mipango, Fedha na Utawala, Dkt. Zena Mnasi Mabeyo akipokea tuzo ya Uandaaji wa Hesabu kwa Viwango vya Kimataifa vya Uhasibu wa Sekta ya Umma (International Public Sector Accounting Standards (IPSAS), kundi la Vyuo vya Elimu ya Juu Tanzania. Katika tuzo hizo Chuo cha Ustawi wa Jamii kimeibuka mshindi wa tatu,ikiwa…

Read More

MAWAKILI MNA NAFASI KUBWA YA KUONDOA CHANGAMOTO MBALIMBALI ZA KISHERIA KATIKA TAIFA HILI” – NAIBU MWANASHERIA MKUU WA SERIKALI

Naibu Mwanasheria Mkuu wa Serikali Mhe. Samwel M. Maneno amemuwakilisha Mwanasheria Mkuu wa Serikali Mhe. Hamza S. Johari katika sherehe za kupokelewa na kukubaliwa Mawakili wapya wa Kujitegemea zilizofanyika tarehe 5 Desemba, 2025 Jijini Dodoma. Akizungumza katika sherehe hizo za kuwapokea na kuwakubali Mawakili wapya wa Kujitegemea, Naibu Mwanasheria Mkuu wa Serikali amewakumbusha Mawakili hao…

Read More

MAGEUZI YA ELIMU YATAWEZESHA VIJANA KUCHANGIA MAENDELEO ENDELEVU

     Waziri wa Elimu, Sayansi na Teknolojia, Prof. Adolf Mkenda, amesema kuwa Serikali inawetegemea wanasayansi na wahandisi ili kufanikisha dhamira ya Tanzania ya kujenga uchumi wa viwanda, amesisitiza kuwa kundi hilo lina mchango katika kuendeleza ubunifu, kuongeza tija na kuleta maendeleo endelevu nchini. Prof. Mkenda amesema hayo Disemba 5, 2025 jijini Dar es Salaam…

Read More