Idadi ndogo ya kesi za wanawake na wasichana yashtua Mahakama ya Afrika, yaitisha kongamano kujadili

Na Seif Mangwangi, Arusha KUFUATIA kuwepo kwa idadi ndogo ya kesi zinazohusu wanawake katika Mahakama ya Afrika ya Haki za Binadamu na Watu (AfCPHR), Mahakama hiyo imelazimika kuwakutanisha wadau mbalimbali ili kuboresha uelewa wao kuhusu taratibu za Mahakama na nafasi ya wanawake na wasichana katika kupata Haki. Kwa mujibu wa Naibu Msajili wa Mahakama hiyo,…

Read More

Cheza Super Heli na Meridianbet, Shinda Samsung Galaxy A25

MERIDIANBET imezindua ofa ya kipekee inayochanganya msisimko wa mchezo na zawadi ya thamani, nafasi ya kushinda Samsung Galaxy A25 mpya kabisa kwa kucheza mchezo maarufu wa kasino mtandaoni, Super Heli. Super Heli ni mchezo unaotumia dhana rahisi lakini yenye kuvutia. Helikopta inapopaa angani, odds huongezeka kadri inavyopaa juu, na mchezaji anapovuta dau lake kwa wakati…

Read More

JALI USALAMA WAKO NA WA WATUMIAJI WENGINE WA BARABARA – RTO PWANI

MKUU wa kikosi Cha Usalama Barabarani Mkoa wa Pwani, Mrakibu Mwandamizi wa Polisi Edson Mwakihaba amewataka maafisa usafirishaji wa Mapinga na Kerege Wilayani Bagamoyo kujali usalama wao, Usalama wa watumiaji wengine wa barabara na kuzingatia sheria za usalama barabarani. Ameyasema hayo Septemba 04, 2025 alipofanya kikao na maafisa usafirishaji huko Mapinga ambapo aliwataka kuzingatia sheria…

Read More

Mechi za Kufuzu WC Ulaya Kukupatia Mkwanja Leo

LEO tena ni siku nyingine tena ya wewe kuondoka na pesa ya maana ukibashiri na wakali wa ubashiri Tanzania Meridianbet. Mechi nyingi za kufuzu Kombe la Dunia 2016 zinaendelea. ODDS KUBWA zipo hapa ingia na utengeneze jamvi sasa. Wales watakuwa ugenini kukiwasha dhidi ya Kazakhstan ambao hawapewi nafasi kubwa ya ushindi siku ya leo wakiwa…

Read More

KIKAO CHA 19 CHA KAMATI YA MIFUKO NA PROGRAMU ZA UWEZESHAJI WAFANYIKA ARUSHA

Kikao cha 19 cha Kamati ya Mifuko na Programu za Uwezeshaji Wananchi Kiuchumi kimefanyika Mkoani Arusha katika ukumbi wa VETA-Njiro kikihusisha wajumbe kutoka taasisi mbalimbali. Kikao hicho kimekusudia kujadili maendeleo ya mifuko na programu za uwezeshaji hapa nchini ikiwemo inayotoa mikopo, dhamana, ruzuku pamoja na programu mbalimbali za uwezeshaji wananchi kiuchumi. Washiriki wa kikao hiki…

Read More

ZAIDI YA 1000 KUHUDHURIA MKUTANO WA NYAMA YA NGURUWE DAR

ZAIDI ya wajumbe 1,250 wa kimataifa na ndani wanatarajiwa kuhudhuria mkutano mkuu wa sekta ya nguruwe barani Afrika unaotarajiwa kufanyika nchini kuanzia Septemba 11 hadi 13, mwaka  Mkutano huo utafanyika Ubungo Plaza jijini Dar es Salaam, kuzungumzia  hatua muhimu kwa sekta ya ufugaji wa nguruwe inayokuwa kwa kasi nchini. Mkutano huo ulioandaliwa na Chama cha…

Read More

MGOMBEA URAIS CCM RAIS SAMIA SULUHU HASSAN AENDELEA KUCHANJA MBUGA… AHUTUBIA MAELFU YA WANANCHI MBALIZI

*Atoa maelekezo kwa wakulima kuendelea kujisajili katika mfumo wa kupata Mbolea ya ruzuku,pembejeo. *Aahidi mambo makubwa katika miaka mitano ijayo …agusia kuendelea kuboresha huduma za kijamii  Na Said Mwishehe,Michzuzi TV-Mbalizi MGOMBEA Urais kwa tiketi ya Chama Cha Mapinduzi(CCM) Rais Dk.Samia Suluhu Hassan ameendelea kuchanja mbuga ambapo leo Septemba 4,2025 amehutubia maelfu ya wananchi Mji Mdogo…

Read More