Sababu Mkurugenzi halmashauri kutupwa jela miaka 20

Moshi/Simanjiro. Aliyekuwa Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Simanjiro, Samwel Gunza amehukumiwa kutumikia kifungo cha miaka 20 jela kwa kosa la matumizi mabaya ya madaraka. Gunza amehukumiwa adhabu hiyo Septemba 18, 2025 na Hakimu Mkuu Mkazi, Charles Uiso wa Mahakama ya Wilaya Simanjiro, ambaye amesema Jamhuri imethibitisha mashtaka dhidi yake pasipo kuacha shaka yoyote….

Read More

Puma yaboresha upatikanaji wa nishati Singida

Dar es Salaam. Kampuni ya Puma Energy imezindua kituo cha huduma mkoani Singida, ikisema hatua hiyo inalenga kuboresha upatikanaji wa nishati, kuunda fursa za kiuchumi na kutoa huduma za kisasa kwa wananchi. Kituo hicho kipya kimeelezwa kitachangia kukuza maendeleo ya kiuchumi ya mkoa huo na maeneo ya jirani. Akizungumza wakati wa uzinduzi wa kituo hicho,…

Read More

Idadi ya vifo ajali ya Chemba yafikia 11

Dodoma. Majeruhi wawili kati ya 11 waliokuwa wakipatiwa matibabu baada ya ajali ya basi la abiria na lori iliyotokea Chemba, mkoani Dodoma, wamefariki dunia, hivyo kufanya idadi ya vifo kufikia 11. Ajali hiyo ilitokea alfajili ya jana, Alhamisi Septemba 18, 2025, na kusababisha vifo vya watu tisa, watano wanaume na wanne wanawake. Mganga Mfawidhi wa…

Read More

MWANA FA KUSHUGHULIKIA MAWASILIANO YA SIMU JIMBO LA MUHEZA

Na Mwandishi Wetu, Muheza MGOMBEA ubunge Jimbo la Muheza kwa tiketi ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) Hamis Mwinjuma maarufu MwanaFA amesema katika miaka mitano ijayo atahakikisha anaongeza minara ya simu ili Jimbo la Muheza liweze kuwa na mawasiliano katika maeneo ambayo yana changamoto hiyo. Akizungumza katika mkutano wa kampeni uliofanyika katika kata ya Kwezitu tarafa…

Read More

Chaumma: Hakuna atakayenyanyaswa kwa sababu ya uraia

Kagera. Chama cha Ukombozi wa Umma (Chaumma) kimewaahidi wananchi mkoani Kagera na maeneo mengine ya mipakani kuwa, kikipata ridhaa ya kuongoza dola, kitahakikisha hakuna raia anayebughudhiwa au kunyanyaswa kwa sababu ya uraia. Chama hicho kimesema kitaunda Serikali itakayothamini rasilimali watu kwa maendeleo ya Taifa, kama ilivyo kwa mataifa ya China na Marekani, yaliyo mstari wa…

Read More

Ndoa za utotoni bado tatizo, wadau waendelea kupambana

Dodoma. Wazazi wametajwa kuwa chanzo cha ukatili kwa watoto wao na mara nyingi kushindwa kupata taarifa sahihi za matendo wanayotendewa watoto katika jamii. Kauli hiyo imetolewa jana Alhamisi, Septemba 17, 2025 jijini Dodoma na Naomi Maswaga kwenye mkutano wa pili wa mwaka wa jukwaa la Msichana Café unaodhaminiwa na shirika lisilo la kiserikali la Msichana…

Read More

TISEZA YASHIRIKIANA NA TCB KUSAIDIA WAWEKEZAJI

:::::::::  Mamlaka ya Uwekezaji pamoja na Maeneo Maalum ya Uwekezaji (TISEZA) imeingia makubaliano ya ushirikiano na Benki ya Tanzania Commercial Bank (TCB) kwa lengo la kutoa huduma bora na za haraka za kifedha kwa wawekezaji wanaotembelea mamlaka hiyo. Akizungumza katika hafla ya utiaji saini ya makubaliano hayo iliyofanyika makao makuu ya TISEZA jijini Dar es…

Read More

Mwenyekiti Chadema Jimbo la Iringa afariki dunia

Iringa. Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) Jimbo la Iringa Mjini, Frank Nyalusi amefariki dunia usiku wa kuamkia leo, Septemba 19, 2025. Nyalusi ambaye amewahi kuwa diwani Kata ya Mivinjeni, Halmashauri ya Manispaa ya Iringa (2010 – 2020), amefariki duinia akipatiwa matibabu kwenye chumba cha wagonjwa wanaohitaji uangalizi wa karibu (ICU), kwenye Hospitali…

Read More