Maajabu ya kupiga mluzi kiafya

Dar es Salaam. Mara nyingi kupiga mluzi huchukuliwa kama ishara ya mtu kuchoka, kutojali au hata burudani ya muda. Hata hivyo, wataalamu wa afya wanasema tendo hili lina faida nyingi kwa mwili wa binadamu, hususani katika kuboresha mfumo wa upumuaji, kuimarisha mzunguko wa damu na kuongeza ustawi wa akili. Kwa mujibu wa wataalamu, kupiga mluzi…

Read More

CCM INAFANYA KAZI KUBWA YA KULETA MAENDELEO, WANANCHI WAENDELEE KUKIAMINI-WASIRA

Na Mwandishi Wetu MAKAMU Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Tanzania Bara, Stephen Wasira, amesema Chama kinafanya kazi kubwa ya kuleta mabadiliko ili kuwaletea maendeleo wananchi. Aidha, amesisitiza wananchi wandelee kukiamini na kukipa nafasi Chama kiendelee kudumisha amani kwa kuwa maendeleo hayatapatikana iwapo itatoweka. Wasira alieleza hayo alipokuwa akizungumza na viongozi na wanachama wa CCM…

Read More

Njia mbadala, salama za kujenga mwili

Dar es Salaam. Katika jamii ya sasa, hasa miongoni mwa vijana, kujenga mwili limekuwa jambo linalotiliwa mkazo. Watu wengi wanapenda kuwa na miili yenye misuli imara, kifua kipana, mikono minene, na tumbo lililojaa ‘six pack’. Sura ya nje imekuwa kipimo cha kuvutia, kujiamini na hata mafanikio kijamii. Hata hivyo, katika harakati hizi, baadhi ya vijana…

Read More

JITOKEZENI KUPATA VITAMBULISHO VYA TAIFA – NIDA

 ::::::::; Na Mwandishi Wetu,  Mamlaka ya Vitambulisho vya Taifa (NIDA) imewataka wananchi hususan kutoka makundi yenye mahitaji maalumu kujitokeza kwa wingi kujisajili ili kupata Vitambulisho vya Taifa, hatua ambayo itarahisisha upatikanaji wa huduma muhimu za kijamii ikiwamo afya, elimu na huduma za kifedha. Wito huo umetolewa na Mkurugenzi wa Idara ya Uzalishaji Vitambulisho kutoka NIDA,…

Read More

Uzembe barabarani ajali zaua 25 ndani ya wiki

Dodoma. Janga la ajali limezidi kuwa tishio nchini baada ya watu 25 kupoteza maisha katika matukio tofauti ndani ya wiki moja, huku wengine kadhaa wakijeruhiwa baadhi yao wakiwa mahututi. Ajali hizo zilitokea kwa nyakati tofauti katika mikoa tofauti, zikiwemo Pwani ambako watu watano wa familia moja walipoteza maisha juzi, Mwanza (watano), Mara (sita), na Dodoma…

Read More