KAMATI UTEKELEZAJI MKAKATI WA MUDA WA KATI WA MAPATO MIAKA 3 WAZINDULIWA DODOMA.
Na Janeth Raphael MichuziTv -Dodoma Katibu Mkuu Wizara ya Fedha Dkt Natu Mwamba amesema kuwa lengo kuu la Mkakati wa muda wa kati wa Mapato ni pamoja na kuweka misingi imara katika ukusanyaji wa Mapato,kuongeza makusanyo,kutambua na kuziba mianya ya ukwepaji wa kodi pamoja na kuimarisha imani kwa Wananchi na Wawekezaji katika mfumo wa Mapato….