Dkt. Samia Amnadi Dkt. Mwinyi Katika Kampeni za CCM, Makunduchi – Global Publishers
Last updated Sep 18, 2025 Mgombea wa Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia Chama cha Mapinduzi (CCM), Dkt. Samia Suluhu Hassan, Septemba 17, 2025 amemnadi Mgombea Urais wa Zanzibar, Dkt. Hussein Ali Mwinyi, katika mkutano wa hadhara wa kampeni uliofanyika Makunduchi, Mkoa wa Kusini Unguja – Zanzibar. Katika mkutano…