Upungufu wa wataalamu, vitendeakazi changaoto Wizara ya Kilimo

Unguja. Wakati Wizara ya Kilimo, Umwagiliaji, Maliasili na Mifugo Zanzibar ikiendelea na ziara Pemba, imebaini inakabiliwa na changamoto ya wataalamu wa kilimo na vitendeakazi. Kutokana na hilo, wizara imeahidi kutafuta njia bunifu za kutumia ili kusaidiana na wataalamu na vitendeakazi vilivyopo kwa lengo la kuongeza ufanisi bila kuongeza gharama. Hayo yameelezwa leo Jumanne Desemba 9,…

Read More

Miaka 64 ya Uhuru: TBN Yasema “Amani Kwanza, Ujenzi wa Taifa Daima”

Leo Desemba 9, tunapoadhimisha miaka 64 tangu Taifa letu lipate Uhuru, Tanzania Bloggers Network (TBN) inawapongeza Watanzania wote kwa kufikia hatua hii muhimu katika historia ya Taifa letu. Hii ni siku ya kutafakari safari tuliyotoka, mahali tulipo, na mwelekeo tunaoujenga kwa pamoja. Waasisi wetu walituwachia zawadi kubwa—Uhuru. Lakini walituonya kuwa Uhuru hauwezi kuwa kamili bila…

Read More

Kitambulisho tiketi ya kuingia, kutoka Chanika Mjini

Dar es Salaam. Eneo la Chanika Mwisho maarufu Chanika Mjini ambalo huwa na pilikapilika nyingi za kibiashara na usafiri wa daladala, leo Jumanne Desemba 9, 2025 lina utulivu usio wa kawaida. Mwananchi limepita maeneo hayo ambayo hadi saa 6:00 mchana yamekuwa na ulinzi mkali wa askari wa Jeshi la Polisi, huku kukiwa na vizuizi pande…

Read More

Safari ya jasho, machozi na damu kuutafuta Uhuru wa Tanganyika

Katika karne ya 19, ardhi ya Tanganyika ilijumuisha jamii na makabila mbalimbali, wakiishi maisha ya jadi yaliyokuwa ya wakulima na wafugaji.  Yote haya yalifanyika kabla ya kile kilichoitwa: “Mashindano ya Kugawana Afrika,” (The Scramble for Africa). Mwaka 1885, katika mkutano wa Berlin uliohusu kile kilichoitwa: “Mapatano ya Kugawana Afrika,” nchi za Ulaya ziligawana Bara la…

Read More

Tafakuri ya fursa na changamoto kwa Watanzania

Uhai wa Tanganyika (sasa Tanzania) kama Taifa huru, umetimiza miaka 64, umri ambao ndani yake kuna mkusanyiko wa mafanikio, mitihani na dhoruba. Ndani ya miaka hiyo, Tanganyika ilijenga misingi yake kwa maono ya pamoja na mfumo wa usawa, utu, amani na mshikamano. Katika kipindi hicho, Taifa limepiga hatua kadhaa mbele kimaendeleo na kiuchumi, hata hivyo…

Read More