Dar es Salaam. Tanzania imezindua nembo maalumu ya ‘Made in Tanzania’ huku ikitajwa kuwa hatua muhimu ya maendeleo nchini na itaitambulisha Tanzania kimataifa kama Taifa
Category: Habari

Shinyanga. Zaidi ya Sh1.14 bilioni zinatarajiwa kutumika katika maandalizi ya Mpango Kabambe wa Kidijitali (Master Plan) wa Halmashauri ya Manispaa ya Kahama, mkoani Shinyanga. Mpango

Ofisi ya Mwanasheria Mkuu wa Serikali itaendelea kuboresha Ushauri kwa Taasisi za Umma wakati wa kuingia mikataba mbalimbali ili kuwa na Mikataba iliyobora na kutimiza

Morogoro. Kwa mujibu wa Sheria namba 23 ya mwaka 2002 ya Tiba za Asili na Tiba Mbadala, huduma za ukandaji na uchuaji misuli zinatambuliwa kama

Tabora. Moto mkubwa umezuka usiku wa manane na kuteketeza maduka matano yaliyokuwa na bidhaa mbalimbali zikiwemo nguo, vifaa vya saluni na chakula, katika eneo la

Aliyekuwa Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) – Freeman Mbowe Mara baada ya ukimya wa muda mrefu, Freeman Mbowe —

MWAMBA wa michezo ya kubashiri nchini, Meridianbet anakukaribisha kushiriki katika promosheni kabambe ya mwezi Julai 2025 kupitia mchezo pendwa wa kasino, Wild White Whale. Kuanzia

Na Mwandishi Wetu, Ndola Serikali ya Tanzania, kupitia Wakala wa Huduma za Misitu Tanzania (TFS), imeweka msingi wa suluhisho la kudumu kukabiliana na changamoto ya

Dar es Salaam. Kuchukua na kurudisha fomu ni jambo moja, lakini kupenya katika mchujo na kuwa kati ya watatu watakaopigiwa kura za maoni na wajumbe,

Wakazi wa jiji la Nairobi nchini Kenya leo Julai 7 ,2025 Kwenye Maandamano ya siku ya Saba Saba Wakazi wa jiji la