WANAWAKE WAHAMASISHWA KUJITHAMINI NA KUJISHUGHULISHA NA SHUGHULI ZA MAENDELEO

Mwenyekiti wa Chama cha Umoja wa Mwanamke wa Thamani, Hajira Bitebo, amewahimiza wanawake kujishughulisha na shughuli za maendeleo na kufanya kazi kwa bidii badala ya kubweteka kukaa nyumbani bila kujituma. Bitebo amesema mwanamke anapofanya kazi na kujitegemea kiuchumi huweza kusaidia familia na kuchangia maendeleo ya jamii kwa ujumla. Kwa upande wake, Katibu wa chama hicho,…

Read More

ACT – Wazalendo yafikisha kilio cha demokrasia UN

Dar es Salaam. Kiongozi wa ACT-Wazalendo, Dorothy Semu, ameeleza wasiwasi wake kuhusu mwenendo wa kisiasa uliojitokeza wakati na baada ya Uchaguzi Mkuu uliofanyika nchini Oktoba 29, mwaka jana. Katika mazungumzo hayo na Mwakilishi wa Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa katika Umoja wa Afrika, Parfait Onanga-Anyanga, yaliyofanyika leo Jumanne Machi 10, 2026 jijini Dar es…

Read More

Kanali Randrianirina Avunja Serikali Nzima Madagascar, Waziri Mkuu Aondolewa

Global Publishers March 10, 2026 0 Comments Kiongozi wa kijeshi wa Madagascar, Kanali Michael Randrianirina, amevunja serikali nzima kwa kumfuta kazi Waziri Mkuu pamoja na mawaziri wote wa baraza la mawaziri katika hatua ya kushtukiza. Taarifa kutoka kwa msemaji wake imesema serikali imeacha rasmi kutekeleza majukumu yake, huku Randrianirina akitarajiwa kumteua Waziri Mkuu mpya na…

Read More

Sekela Apongeza Uongozi wa Rais Samia Katika Kuinua Wanawake

Na Pamela mollel,Arusha Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan, amepongezwa kwa juhudi zake za kuhamasisha wanawake kushiriki kikamilifu katika nyanja mbalimbali za maendeleo, hususan katika sekta za utalii na uhifadhi, hatua inayochangia kuongeza usawa wa kijinsia na kuwajengea wanawake ujasiri wa kushika nafasi za uongozi. Pongezi hizo zimetolewa na Kamishna Msaidizi…

Read More

Imani za kishirikina zatishia wananchi kudai haki zao Tanga

Tanga. Baadhi ya wananchi jijini Tanga wameeleza hofu ya imani za kishirikina, imekuwa kikwazo kwao kudai haki zao katika migogoro mbalimbali inayowakabili ikiwemo masuala ya ardhi. Mara kadhaa wananchi wamekuwa wakisikiliza malalamiko ya wenzao, lakini wengi hushindwa kuchukua hatua kwa hofu ya madhara yanayodaiwa kuhusishwa na ushirikina. Malalamiko haya yamejitokeza katika kliniki ya sheria inayosimamiwa…

Read More

Sababu TPA kuja na ada mpya, kuziahirisha

Dar es Salaam. Siku moja baada ya ada mpya ya uendelezaji wa miundombinu ya bandari (PID) kulalamikiwa, Mamlaka ya Usimamizi wa Bandari Tanzania (TPA) imeeleza sababu za kuianzisha na kuisogeza hadi Julai mosi mwaka huu. Ada hizo mpya zilipaswa kuanza kutumia Machi 8, 2026 lakini baada ya kutangazwa na kuibua mjadala mkubwa miongoni mwa wadau…

Read More