Fahamu Madhara ya Kuendesha Gari Taa ya Mafuta Ikiwa Inawaka

Madereva wengi wana tabia ya kupuuza taa ya mafuta pale inapowaka kwenye dashboard ya gari, wakiamini bado wanaweza kusafiri umbali mrefu kabla ya tanki kuisha kabisa. Wengine husema, “bado naweza kufika kituo kijacho”, au “nitaweka baadaye.” Hata hivyo, wataalamu wa magari wanaonya kuwa kuendesha gari kwa muda mrefu huku taa ya mafuta ikiwa imewaka kunaweza…

Read More

WANAZUONI WAHIMIZA WISLAMU KUTOA ZAKA KUPAMBANA NA UMASIKI

                 :::::::::::: Mwenyekiti wa Umoja wa Wanazuoni wa Kiislamu, Sheikh Abdallah Swallehe Ndauga, amewahimiza Waislamu kutekeleza ipasavyo ibada ya Zaka ili kusaidia kupunguza umasikini katika jamii. Akizungumza katika kongamano la wanazuoni wa Kiislamu lililofanyika katika ukumbi wa Dar es Salaam Youth Centre (DYCC) jijini Dar es Salaam, Sheikh…

Read More

WANAWAKE MKIPATA PESA MSISAHAU MILA NA DESTURI ZETU” DKT GWAJIMA

Kilele cha maadhimisho ya Siku ya Wanawake Duniani mkoani Geita kimepambwa na ujumbe mzito wa kuwataka wanawake nchini kuzingatia mila na desturi zinazojenga jamii, huku wakizidi kupiga hatua kubwa za kiuchumi. Akizungumza katika maadhimisho hayo Machi 8, Waziri wa Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wanawake na Makundi Maalum, Mhe. Dkt. Dorothy Gwajima, amesema mafanikio ya kiuchumi…

Read More

EWURA YASHIRIKI MAADHIMISHO YA SIKU YA WANAWAKE DUNIANI

  MWEYEKITI   wa Wanawake wa Chama cha Wafanyakazi wa Serikali Kuu na Afya Tanzania (TUGHE) Tawi la EWURA, Herieth Kasilima, akiwaongoza baadhi ya Wafanyakazi Wanawake wa EWURA  waliojitokeza katika maadhimisho ya  kilele cha Siku ya Wanawake Duniani yaliyofanyika   ngazi ya Mkoa wilayani Kongwa ,mkoani Dodoma leo Machi 8,2026 wakipita mbele ya mgeni rasmi wa maadhimisho…

Read More

WANAWAKE e-GA WATOA MSAADA KWA WATOTO WENYE MAHITAJI MAALUMU

Wanawake kutoka Mamlaka ya Serikali Mtandao (e-GA) Makao Makuu Dodoma wameungana na wanawake wengine Mkoani Dodoma kuadhimisha Siku ya Wanawake Duniani Machi 8, 2026, Jijini Dodoma  ‎ ‎Katika kuadhimisha siku  hiyo Wanawake hao wametoa msaada wa mahitaji mbalimbali katika Kituo cha Watoto Yatima cha Rahman kilichopo chang’ombe mkoani humo. ‎ Akizungumza mara baada ya kukabidhi…

Read More

Waziri Mkuu Atoa Onyo Kali kwa Wanaouza Mbegu Duni kwa Wakulima

Global Publishers March 8, 2026 0 Comments WAZIRI MKUU, Dkt. Mwigulu Nchemba amesema kuwa Serikali itachukua hatua kali ikiwemo kufilisiwa kwa yeyote anatakayebainika kuhujumu wakulima kwa kuwauzia pembejeo zisizokuwa na ubora zikiwemo mbegu. Ameyasema hayo leo Jumapili, Machi 08, 2026 alipozungumza na wananchi katika mkutano wa hadhara uliofanyika kwenye Uwanja wa Shule ya Msingi Laela…

Read More

Safari ya mjamzito aliyebebwa kwa machela kwenda kujifungua aeleza maumivu, ushujaa na furaha

Kilolo. Nadhani tunakumbuka picha ya mama mjamzito kutoka Kiwalamo, wilayani Kilolo, aliyebebwa kwa machela na wanakijiji akiwa katika uchungu wa kujifungua kutokana na barabara mbovu hadi Hospitali ya Dabaga kwenda kujifungua. Hii ni simulizi ya kishujaa ya Zaineth Kipingi, mama wa Moreen, aliyejifungua kwa mara ya kwanza Juni mwaka huu akibebwa kwenye machela kutoka Kiwalamo…

Read More