MAGEUZI YA ELIMU YATAWEZESHA VIJANA KUCHANGIA MAENDELEO ENDELEVU

     Waziri wa Elimu, Sayansi na Teknolojia, Prof. Adolf Mkenda, amesema kuwa Serikali inawetegemea wanasayansi na wahandisi ili kufanikisha dhamira ya Tanzania ya kujenga uchumi wa viwanda, amesisitiza kuwa kundi hilo lina mchango katika kuendeleza ubunifu, kuongeza tija na kuleta maendeleo endelevu nchini. Prof. Mkenda amesema hayo Disemba 5, 2025 jijini Dar es Salaam…

Read More

TASAC YAIBUKA MSHINDI WA PILI TUZO ZA NBAA 2024

Na Mwandishi Wetu Shirika la Uwakala wa Meli Tanzania (TASAC) imeshika nafasi ya pili katika tuzo ya uandaaji na uwasilishaji wa taarifa za mahesabu kwa Viwango vya Kimataifa kwa mwaka 2024 kwa Mamlaka za Udhibiti zilizoshindanishwa na Bodi ya Taifa ya Uhasibu nchini (NBAA) Tuzo hiyo imepokelewa na Mkurugenzi wa Fedha  CPA Pascal Karoomba Mkurugenzi…

Read More

Waziri Sangu Awataka MaDG Kuelekeza Mikakati Dira 20

Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu – Kazi, Ajira na Mahusiano Mhe. Deus Sangu ametoa wito kwa Wakurugenzi wa Taasisi zilizo chini ya Ofisi hiyo kuhakikisha kuwa mipango mikakati wanayoandaa na kuitekeleza inaendana moja kwa moja na Dira ya Taifa ya Maendeleo 2050.Amesema dhamira ya Serikali ni kuona taasisi zote zinachangia kikamilifu katika kujenga…

Read More

Waziri Kombo akutana na Balozi wa Zambia nchini

Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Mhe. Balozi Mahmoud Thabit Kombo (Mb.) amefanya mazungumzo na Balozi wa Jamhuri ya Zambia nchini, Mhe. Mathews Jere kuhusu masuala ya mbalimbali ikiwemo umuhimu wa kuimarisha ushirikiano wa uwili baina ya Tanzania na Zambia. Katika mazungumzo yao, Mhe. Kombo ametumia fursa hiyo kutuma salamu za…

Read More

Win&Go Moto Kuja Na Bonasi Za Kila Siku Meridianbet

KATIKA ulimwengu wa michezo ya kasino mtandaoni, ushindani ni mkubwa lakini bado hakuna anayekaribia ubunifu na ukarimu wa Meridianbet. Safari hii wamekuvutia kwa staili mpya kabisa kupitia promosheni ya Non-Stop Win&Go Drop, ambayo imezua gumzo kila kona. Ndani ya ofa hii, unaweza kujishindia mizunguko ya bure mpaka 500 kila siku bila stress, bila presha, bila…

Read More