Samia atoa mwelekeo mpya Zanzibar
Unguja. Mgombea urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia Chama cha Mapinduzi (CCM), Samia Suluhu Hassan, ameahidi kuzilinda tunu za Muungano, amani na utulivu wa Taifa kama walivyoziacha waasisi, Mwalimu Julius Nyerere na Abeid Amani Karume, kwa ajili ya vizazi vijavyo. Pia, ameahidi kujenga kituo cha kumbukumbu na nyaraka za Muungano ili wageni wanaoitembelea…