Samia atoa mwelekeo mpya Zanzibar

Unguja. Mgombea urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia Chama cha Mapinduzi (CCM), Samia Suluhu Hassan, ameahidi kuzilinda tunu za Muungano, amani na utulivu wa Taifa kama walivyoziacha waasisi, Mwalimu Julius Nyerere na Abeid Amani Karume, kwa ajili ya vizazi vijavyo. Pia, ameahidi kujenga kituo cha kumbukumbu na nyaraka za Muungano ili wageni wanaoitembelea…

Read More

DKT.SAMIA AHUTUBIA MAELFU WANANCHI ZANZIBAR,AAHIDI KITUO CHA KUMBUKUMBU NA NYARAKA ZA MUUNGANO

Na Said Mwishehe,Michuzi TV-Unguja MGOMBEA urais kwa tiketi ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) Rais Dk.Samia Suluhu Hassan amesema Muungano wa Tanganyika na Zanzibar kwa sasa umeimarika na umekuwa wa udugu wa damu  huku akiahidi Serikali kwenda kuanzisha kituo cha kumbukumbu na nyaraka za muungano. Akihutubia maelfu ya wananchi wa Kusini Unguja leo Septemba 17,2025 pamoja…

Read More

Ahadi za wagombea zinatekelezeka? | Mwananchi

Dar es Salaam. Kampeni za uchaguzi mkuu wa mwaka huu, zimemaliza theluthi ya kwanza, majukwaa ya kisiasa yamegeuka uwanja wa matumaini, kila mgombea akiahidi mazuri kwa wananchi. Ingawa ahadi hizo zinawapa matumaini wananchi kufikia matarajio na matamanio yao lakini kwa upande mwingine, zinaibua maswali nje ya majukwaa ya kisiasa, kwamba je, zinatekelezeka? Kwa mujibu wa…

Read More

DK.SAMIA ASISITIZA AMANI NA UTULIVU KUELEKEA UCHAGUZI MKUU OKTOBA 29

 Na Said Mwishehe,Michuzi TV-Unguja  MGOMBEA urais kwa tiketi ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) Rais Dk.Samia Suluhu Hassan amehutubia maelfu ya wananchi wa Mjini Unguja akiendelea na kampeni za kuomba kura kuelekea Uchaguzi Mkuu unaotarajia kufanyika Oktoba 29,2025 huku akitumia nafasi hiyo kusisitiza amani na utulivu. Akizungumza na maelfu ya wananchi waliokusanyika katika uwanja wa Kajengwa,…

Read More

Askofu Kilaini asimulia anavyomkumbuka Askofu Rugambwa

Dar es Salaam. Wakati waamini wa Kanisa Katoliki Tanzania na duniani wakiomboleza kifo cha Askofu Mkuu Novatus Rugambwa, mwalimu na rafiki yake wameeleza namna atakavyokumbukwa. Askofu wa Jimbo Katoliki la Bukoba, Jovitus Mwijage, katika tanzia kwa maaskofu, mapadri, watawa na waamini leo Septemba 17, 2025 amesema Askofu Mkuu Rugambwa alifariki dunia jana Septemba 16, jioni…

Read More